US Bunker-Busting Bombs Ready to Go Against Iran

Haya msikilize Tariq Aziz mwenyewe alipohojiwa anajibu Maswali yenu in this clip.
sodoliki 2013

Tariq Aziz amejitahidi kuwa mkweli..anaamini pasi na shaka kupigana na Taifa kama Marekani huwezi tegemea kushinda. Hata Iran inapayuka tu duniani. USA sio Rika la Iran. Iran itafute dagaa wenzake sio United States of America.

Pia katika mambo ambayo anadai anajutia maisha yake yote ni Uamuzi wake wa kujiingiza kwenye siasa. Anapenda sana Poetry.
Pia anakiri kuwa sio kila kitu kinachofanywa na serikali yake anapendezwa nacho bali wanakaa na kupanga na wazo lenye kukubaliwa na wengi ndio linalopita hata kama yeye binafsi halikubali.
Anapuuza madai kuwa kuna Sadam zaidi ya mmoja.
pia anakataa kuulizwa maswali ya Sadam anamtaka Mwandishi akamuulize mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:

bunker busters ameshapewa Sharon, toka Israel distance ni fupi na wameshawahi kuharibu,/kurudisha nyuma harakati za Irani kutengeneza silaha ya Nuclear kwa kuharibu baadhi ya miundombinu!
 

white agaist blacks na Shia against Sunni, hakuna suluhisho ila ni kuchapana tu!
 
Iran aendelee kutengeneza nuclear weapons kama kawa asiogope kidudu chochote si USA wala mashoga zao MAYAHUDI.
 
Sikuwa na mpango WA Ku log in lakini imenibidi ili nikupe hongera yako big up
 
Last edited by a moderator:
 
 

Samahani mkuu.Hebu mjibu vizuri huyo jamaa aliyekuuliza itapita anga gani hiyo MOP kama inabebwa na B52 ambayo inaweza kutunguliwa huko huko anga za mbali na makombora ya Iran.
 
walitambua kuwa Mudi aliwadanganya hahaha
 

Mkuu sipingani na wewe ila unaweza kueleza Iran kamchokoza nini Israel ili tupate kuelimika.
 

Kwanza haiitwi Islaer... Inaitwa hivi Israel na si kwamba iwe huru lengo ni kuchukua maeneo yake ya ahadi... na uzuri wake hawatumii mabavu wananunua kama wewe unapotaka kununua kiwanja... Njaa za Waarabu ndizo zinaongeza Chuki kwa Waarabu wenzao cha kushangaza wakiwaomba misaada wanawakubalia tu and then hawawapi kitu....

Unaposema Waislam hawahitajiki si kweli ila Waislam wanapokuwepo sehemu hawapendi kuishi na watu wasio waislam hivyo huanza ukorofi wao na ndipo hugeuziwa Kibao.... Nakuomba ufahamu hilo kwani ni sehemu ya mafunzo ya dini yao... mtu asiye Muislam si ndugu full stop elewa na uishike koran inavyofundisha... Mziki unakuja pale wanapogeuziwa kibano na wao huona wanaonewa nini maana yake hii... Ndio kila siku utasikia Waarabu wanaonewa na Waislael na ukifuatilia kisa utakuta wao ndio wachokozi... Na hii inaushahidi wa wazi na sio wa kuficha ficha ndio maana waelevu hupuuzia madai yote ya wajinga wa kiarabu na hapa Tanzania wapo ila ndio kama bendera hufuata upepo na visa hawafuatilii.... Mimi kitambo nilikuwa nashangazwa na Israel ila kufuatilia nikakuta waarabu ndio wachokozi.... tokea Taifa la Israel lilipoundwa waliambiwa tugawane wakakataa na kuanzisha vita... kumbe kupigana hawajui Muhahahahaha
 
Samahani mkuu.Hebu mjibu vizuri huyo jamaa aliyekuuliza itapita anga gani hiyo MOP kama inabebwa na B52 ambayo inaweza kutunguliwa huko huko anga za mbali na makombora ya Iran.

Ngoja nitoe maelezo. Nikikaa kwenye PC nitakuja na D-tailz zaidi. Manuari za marekani zinauwezo wa kupiga eneo lolote la nchi kavu kutokea baharini. Ndege za B52 Mara nyingi hazishiriki vita zaidi ya kutoa sapoti.
Zipo stealth bomber.F35, tornadoes, Unmanned plane, na aina nyingine za ndege hizi zinashiriki operation za kijeshi. Mara nyingi.
Lakini kabla sijaongea zaidi.. Tujiulize Iran inatechnolojia gani ya kuwabiti wamarekani. Jibu hakuna.
Kuhusu Iran kupata msaada wa kijeshi kwa Russia na China, inategea lakini sio rais wao kuinhilia us business.
Kwanza eneo lote la maji litakuwa upande wa obama. Nsio itakuwa get I la Amphibia kuingia Kwani ya Iran.

Satellite na overwhelming attack lazima zitamfanya Iran a-disarm mapema kwenye sekta ya anga. Nina uhakika hata rusha ndege hata moja. Hata tofautiana na Gaddafi.

Sehemu ngumu itakuwa ardhini. Ila tunavyo vifaru vya Abram vyenye satelite, laser, na madude mengine ambayo hatujayatumia yako kwenye research,

Uharibifu wa Miundo mbinu kama barabara, majengo ya serikali yataifanya wakuu wrote wa Iran wajenge makaburi ya kufanyia shughuli zao.

Kumbuka wakati wakina maywether wako kasino wanatengeneza pesa kwa kamari, Hawana habari ya vita.

Huku iran, Uharibifu wa viwanda vyake vya silaha utadhohofisha ufanisi wa yeye kuendelea kutengeneza silaha. Hapa itambidi ategemee AK-47 tu.

Idadi ya vifo vya askari wake, itamfanya abadili mbinu na kujiunga na vita za Guerillas war.
 

Ahsante kwa maelezo.Hivi wewe ni mmarekani? Naona umesema tuna vifaru mahali fulani!
 
F
Ahsante kwa maelezo.Hivi wewe ni mmarekani? Naona umesema tuna vifaru mahali fulani!

Nime-act kama mmarekani. I put on their shoes...
To put boots on the ground, that will be harder, but with our experience in the desert, tunakawaida ya kuhujumu kupitia mashambulizi ya muda mrefu ya anga. Tutahakikisha tuna shusha mabomu yenye tons za kutosha ili kufukua makaburi na aina yeyote ngumu ya underground bunker walimojificha.

Kawaida watu wa arabuni Wana kawaida ya kuchimbia chini ya vumbi rocket za kutungua ndege ili zisionekane. hapa tukishusha jehanum jangwani watakuwa hawana pa kuficha nyuso zao. Kiu na joto vita waangamiza.
 
Mchaga mnywa uharo leo awe mmarekani?
Teh teh teh.
Utaendelea kujifanya mpk ufunge goli.

We mnyamwezi wa usukumani, mbona una act gaidi.?
Wakati kuna hata kujiunga na ashshabaab huwezi. Unadowea vya wazungu uko ulaya. Nenda Iraq nijue kuwa P*mb# unazo. Nyooo tiza bull
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…