US bombers fly close to North Korea

Mkuu as we speak tayari silaha za kivita za russia zipo NK.
alafu kumbuka kijiographia russia na NK wapo jirani
Kwa hio unataka kusema, Russia walishindwa kutimiza ahadi yao ya kumsaidia Sadamu, na kumuokoa mshirika wake Iraq , pia kuviokoa visima vyake vya mafuta kwasababu ya umbali????? Sio kweli.
 
Mtumzima hatishiwi nyau
 
Hii vita sio kama unavyodhani... I guess US akilianzisha basi atapambana na NK, RUSSIA, IRAN PLUS CHINA kwani hao ni allies


Talking is cheap.. Tokea umezaliwa hadi leo hii ulishasikia na kuona wapi U.S akianza kuigonga nchi yoyote kuna mtu atajaribu kuisaidia nchi inayopigwa..? Tumeona kila mahali from Iraq, Afghanistan, Libya hakuna aliyetia mguu kuisaidia.. So acha kuwaza ujinga eti NK itasaidiwa.. Nasema kipigo kitakatifu kikianza, no one WILL EVER STEP IN TO ASSIST NK... Kiduku will face FURY and FIRE the World has never seen..!! Subiria kipigo hujawahi ona maisha yako yote NK atakachofanyiwa..!!
 
NK SAM
Tunakunamsubili Dotard



Unazungumzia SAMs ambazo Israel imekua ikiziJam kila siku kule Syria.
Kiduku ana S200 km zile za Syria ambazo kila siku zinahangaishwa na F15 za miaka ya 70 sembuse Leo kuna F22,B-2,?!
 
Point
 
Vipi na ile manowari ya Urusi iliyogongana na meli ya mizigo mapema mwaka huu na ikazama, nayo ilidukuliwa nini?!.
Hiyo meli sehemu zilipogongana ni sehemu ambayo meli nyingi sana zinapita hapo na kulikuwa na fog ( ukungu) mzito sana.
Hizo ni report zilivyokuwa lakini kama ulikuwa ni hujumu haijatangazwa kama habari za hizo meli za USA
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yani ndege za Marekani unaongopea watu eti za Nk. Huyo mkorea anazitolea wapi mashine km hzo...

zitafute North Korea Jet Fighters utazikuta yard
 
1950s mbona alichapwa na hao NK na CHINA au hujui historia?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] historia ya wapi hiyo mkuu, embu leta hata source tuone.

Hivi hujui vita vya Korea marekani ilipiga mabomu Pyongyang yote ile mpaka wakawa wanaripoti kwamba hakuna cha kulipua tena mji wote upo udongoni.
Marekani ilirusha mabomu tani 650,000 kwenye ile vita zaidi ya mabomu yote iliyorusha kwenye vita vya pili vya dunia ambayo yalikua tani laki nne na kitu.
Theluthi ya raia wa NK waliuawa, zaidi ya watu milioni 3 waliuawa. Marekani ilibakisha sehemu ndogo tu iichukue Korea yote ile. Huyo mchina kaja kuingilia kipindi NK kashakula kichapo cha mbwa mwizi ndo majeshi ya US yakarudishwa nyuma hadi pale mpakani (DMZ). Unadhan Kim kung'ang'ania nukes ni mjinga?!,anawajua Marekani vilivyo...

Wakati wa vita vya Korea NK ilikua ishateka Korea kusini yote ikibakiza kisehemu kidogo tu iichukue SK yote, ndipo Marekani akaingia mzima mzima kumtandika NK kuanzia SK mpaka kwake tena chumbani kabisa kuanzia Pyongyang mpaka vijijini kabisa huko. Usicheze na Marekani ww... Hata vita sasa hv vikizuka huyo mchina atakuja kuingilia baadae kipindi dogo yuko hoi taabani ili kuokoa jahazi maaana mchina mwenyewe anajua shughuli ya Marekani.
 
fundi mbona unaanza kuweweseka mapema hivi wakati movie ndo kwanza inaaanza
sasa mkuu si amipita tu pembeni kama speed rocket
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] fundi mbona unaanza kuweweseka mapema hivi wakati movie ndo kwanza inaaanza
Apana mkuu mkuu nipo strong kama mkuu wangu kim!
kwanini mmezipitisha bila ata kutema mate kwenye aridhi ya Rocket Man !!?mmepita mbali sana kuwapa watu wenu matumain kuwa mpo!!
sidhani kama mtarudia tena!!
 
Pembeni, tumepita kwenye pwani yenu mnasema pembeni. Tena eneo hilo tulilopita hakuna ndege yoyote ya kijeshi iliyogusa kwa karne hii ya 21 ila za US tu.
 
Pembeni, tumepita kwenye pwani yenu mnasema oembeni. Tena eneo hilo tulilopita hakuna ndege yoyote ya kijeshi iliyogusa kwa karne hii ya 21 ila za US tu.
kim atasema badae kwanini aliziacha ila yeye alishaweka wazi hatakuwa wa kwaza kurusha ata jiwe !
 
Sasa mkuu ugomv kat ya nk na USA wew tz unaathirika vipi au kizaz chako


2pambane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…