US$ Billionaire Rostam Aziz scolded at protectionist Kenya

Sasa. Huyu mtu anakaa Asian anasema nini mbele ya waaafrika weusi.

Takataka rudi india.
Stupid Kenyan..very stupid and idiot indeed...Rostam siyo Mhindi...look at him closely..hatoki India na Wala baba na mama yake siyo wahindi...ni Mtanzania was kijijini ila asili yake siwezi kukutajia...
 
Wewe ndio mpumbavu mimi nina uzoefu nimewahi kuajiriwa na Wakenya Uchumi supermarket kama supervisor na salary ndio hizi hizi za serikali na mikataba yote kama kawaida.

Acha kuhemka wewe,wahindi wanavyowafanya ndugu zako huko viwandani bora mara mia Kenyans
Wakenya ni wapumbavu hakuna Cha afadhali hapo
 
Wewe sijui Tony254 hujui kitu kabisa kuhusu uhusiano wa TZ na Kenya ...uhusiano mbaya Kati ya TZ haujaanza Leo ni tangu miaka ya 1960 na 70..kumbuka pale EAC ilipovunjika 1977 Kenya ilifurahi mno..wakateka karibu ndege zote za jumuiya..pilot mtanzania akafanikiwa kutorosha ndege moja tu..Kenya Airways mtaji wake mkubwa ni ndege zilizoporwa na Kenya...meli kwenye lake Victoria mkageuza hoteli..stupid Kenyans...Mpaka ukafungwa magari ya KENATCO yakazuiwa kuja Tanzania..in fact uhusiano wa TZ na Kenya haujawahi kuwa mzuri tangu enzi za Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli..na hata kwa Samia uhusiano hauwezi kuwa mzuri..Kenya inataka ku-dominate kiuchumi Jambo ambalo TZ haiwezi kukubali...TZ ikitaka kuja kuwekeza kwenye media Kenya haiwezi kukubali lakini Kenya imewekeza TZ kwenye media Kama magazeyi ya Mwananchi, the Citizen na Mwanaspoti..urafiki Kati ya TZ na Kenya siku zote ni wa mashaka na utaendelea kuwa hivyo vizazi na vizazi
Naona bado una machungu kwa mambo yaliyofanyika zamani. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
 
Hapa hakuna kuganga yajayo...50-50 win situation ndiyo solution..
Hahaha. Na sasa kama nyinyi mna investors wachache wanaoweza kuinvest Kenya, basi itafika 50-50 lini? Kenya itazidi kudominate market ya TZ na nyinyi mtashindwa kudominate market ya Kenya.
 
Hahaha. Na sasa kama nyinyi mna investors wachache wanaoweza kuinvest Kenya, basi itafika 50-50 lini? Kenya itazidi kudominate market ya TZ na nyinyi mtashindwa kudominate market ya Kenya.
Wacha wazim nyie hamna cha investors wakali kuzidi Tz mko na mafukara plus middlemen...Uyo Rostam alisha tambuliwa na Fobs kama dollar billionaire ila akashuka....mind you apo nyuma ya hao tupo wengi snaaa
 
Hahaha. Na sasa kama nyinyi mna investors wachache wanaoweza kuinvest Kenya, basi itafika 50-50 lini? Kenya itazidi kudominate market ya TZ na nyinyi mtashindwa kudominate market ya Kenya.
Katika hayo makampuni makubwa ni yale foreign ambayo subsidiary zake zime-invest Tanzania kama EA Brew, Unilevel na many of flower firms! Hamna hata moja la kizawa la Kenya lililo na muscles ya ku-invest over $100 mln!
 
Hahaha. Na sasa kama nyinyi mna investors wachache wanaoweza kuinvest Kenya, basi itafika 50-50 lini? Kenya itazidi kudominate market ya TZ na nyinyi mtashindwa kudominate market ya Kenya.
We will look for other investors
 
Wacha wazim nyie hamna cha investors wakali kuzidi Tz mko na mafukara plus middlemen...Uyo Rostam alisha tambuliwa na Fobs kama dollar billionaire ila akashuka....mind you apo nyuma ya hao tupo wengi snaaa
Mlango umefunguliwa. Wacha tuone kama mna nguvu ya kuinvest Kenya. Mumepewa rukhsa ya kuinvest Kenya sasa wacha tuone kitakachofanyika.
 
Halafu uache ujinga wa kuita kila mtu dollar billionaire. Tanzania mna dollar billionaire mmoja tu kwa jina la Mo Dewji. Ficha upumbavu wako wa kuita kila mtu Dollar billionaire. Huyo Rostam sio dollar billionaire.
Huyu amekuwa list ya dollar billionaires at forbes mara kadhaa, Kenya has not produced even one! His divesting from Vodacom alone wos over $500 mln! Most of engineering works at mining sites r under his company and the coming EACOP u will hear plenty about him as no any other indigenous company in EA has more experience in such undertakings! Just google Caspian Tanzania! Ticts, African Tanneries (Morogoro National Tannery factory), Taifa gas (Tanzania and Ugand) and Sandvik group Tanzania r his among many! There was a time he was one of the owners of Rift valley railway under Mirambo holdings before SGR came and its subsequent disband of the group of ownership.
 
Hii ndio point kuu maana wakija huku sisi ndio tunanufaika,yakitoka ananufaika mfanyabiashara binafsi na watu wa nchi alikoenda kuwekeza unless huo uwekezaji wake uwe unatumia rasilimali au malighafi ya Tzn kinyume chake hiyo ni mambo binafsi ya Rostam wakazinguana na mfanyabiashara mwenzie Kenyatta
Ukilaza wako umepitiliza kiwango jombaa
 
Mlango umefunguliwa. Wacha tuone kama mna nguvu ya kuinvest Kenya. Mumepewa rukhsa ya kuinvest Kenya sasa wacha tuone kitakachofanyika.
Rukhusa ya kinafiki,sisi tunawajua ninyi sio wageni kwetu...pombe ndo alikuwa president huyu mama anatuzingua,akina kikwete na genge lake akina rostam wanamtumia kwa maslahi yao..damn
 
Rukhusa ya kinafiki,sisi tunawajua ninyi sio wageni kwetu...pombe ndo alikuwa president huyu mama anatuzingua,akina kikwete na genge lake akina rostam wanamtumia kwa maslahi yao..damn
Mbona watanzania mnaiogopa kenya sana
 
Tunaposema wanatuitaji zaidi....hatuangalii factor moja tu...mahindi...nope....tunaconsider many factors kaka na si mahindi tu....
Sema sisi wa Tanzania ni wazembe tu, kubali tu, hakuna cha factor wala nn, wa Kenya wanajua kuchangamkia fursa..

Kenya alikuwa anauza madini ya tanzanite zaidi ya Tanzania
 
Back
Top Bottom