Urusi yatishia kutumia silaha za nyuklia ikiwa Sweden, Finland zitajiunga NATO

Yaani apige nuclear alafu watu wakae kimya? Mond you marekani alitumia nuclear kipindi hizo nchi hazina nuclear, kwenye vita hakuna nchi inakubali unyonge hata Ukraine kaukataa ndio utaongelea nchi za Nato
Kuna watu wanafkiria kuwa Ukraine haina uwezo wa kushambulia Russia au pengine NATO haiwezi kumpa Ukraine silaha za kuharibu Russia. Wanapaswa kutambua kuwa, dhumuni kubwa la kwanza la NATO, ni kumfanya Putin achafuke duniani na Russia pia.

Kitendo cha Ukraine kushambulia Russia kitafanya Raia wengi wa Russia kumuunga mkono ktk hii anayoita operation, japo kwa undani hii ni vita kamili.

Tukirudi ktk mada yetu, Russia amekuwa ni mtu mwenye parade kuonesha silaha zake za kivita na teknolojia mpya ktk jeshi lake. Sote tumekuwa ni mashahidi kuwa sio misafara ya vifaru, ndege, magar n.k vinavyotembea Ukraine. Hii inaonesha kuwa watu wana mbadala wa kunyoosha silaha za Russia. Ndani ya hii vita Russia ametumia hypersonic missiles, watu wanamchora wanakaa kimya huku wakiendeea kumsoma vile watakavyomkabili mbeleni.

Kitu pekee mimi niaminicho ni hiki, ikitokea vita watu wakatumia nuclear, mhanga mkubwa atakuwa ni huyo huyo Mrusi.
 
United States walitumia nuclear weapons kwa hiroshima na nagasaki na hakuna nchi yoyote iliyomgusa.
Na Russia pia wanaweza kutumia nuclear weapons popote na hakuna atakaye mgusa sababu kila mtu anapenda amani nchini kwake na maisha ya wananchi wake.

Kama Russia wakianzisha vita ya nuclear mataifa mengine ni lazima yakae kimya ili kuepusha Nuclear holocaust ambayo itaangamiza dunia nzima, na hakuna mtu mwenye ubavu wa kuanzisha hicho kitu.
Ni afe mmoja au tufe wote na mpaka sasa putin ndio mtu pekee anayeonekana kuwa na will ya kudeploy nuclear na wala hajali chochote zaidi ya maslahi yake.

Mambo ya nuclear sio rahisi hivyo kwamba mimi nikipiga basi kila mtu anapiga kama manati, na kusema kwani nani hana mawe!
Hapa tunaongelea mwisho wa maisha duniani kwa ujumla au baadhi ya sehemu za dunia kuwa uninhabitable kwa mamia na maelfu ya miaka au extinction ya baadhi ya races.
Wakati US anadondosha mabomu ya nyuklia Hiroshima na Nagasaki nchi ngapi zilikuwa na teknolojia ya nyuklia kama aliyokuwa nayo US kipindi hicho? hata huyo urusi hakuwa na teknolojia ya nyuklia ya kumfikia US enzi hiyo na infact alipata info za kumsaidia kutengeneza hayo mabomu kijasusi (urusi alipiga chabo) from US hasahasa baada ya US kuwa na ile Manhattan project! kwa hiyo hakuwepo wa Kushindana na US kwa wakati huo kwenye silaha za nyuklia. Kwa sasa urusi anaogopa maana silaha za nyuklia wanazo nchi nyingi hivyo akizingua tu anazinguliwa na hicho ndicho pekee kinamuogopesha Putin otherwise angekuwa na hizi silaha peke yake angekuwa ashamaliza mchezo siku nyingi asingekubali kuadhirika ukraine lakin si rahisi afanye hivyo maana anajua akianza anamalizwa.
 
Putin hana tofauti na mbwa koko tu. Anaishia kubweka
Putin kabanwa mbavu, anatweta yaan anatamani vita iishe sasa haiishi huku vikwazo vya uchumi, huku mali imelipuliwa, yaani ndo maana hata anakaa mbali hata na washauri akiwa nao kwenye vikao maana haamini kama hawawezi mdhuru yaan zee halina amani kabisaaa
 
yeye (Urusi) ana ongoza na US anafatia ktk swala la nyuklia....
Pindi atakaporusha even single head kichwa chake kitakuwa kimeshakatwa na wote wamehusika vichwa vyao vitaliwa. Stay tune watu wamejiandaa na kama hujuwi angalia ukimya unao endelea juz wamedidimiza mel yake as alert kwake.
 
Ndio shuleni mlivyofundishwa ivyo

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app

2019

2017
nhj.JPG



mn.JPG


jkhk.JPG
 
Sawa.
Lakini hapa tunaongelea world ending catastrophe, Russia hawawezi kujaribu kupiga mataifa makubwa yenye nguvu kama marekani, lakini ana uwezo wa kupiga nchi yoyote na hayo mataifa makubwa hayatoweza kuingilia hiyo fujo sababu wanajua nini kinaenda kutokea hivyo lazima wakae kimya kwa usalama wao.

Hata hapa tu Mataifa yote yameshindwa kupinga kwa kupiga russia directly sembuse nuclear?
ulaya si bongo , mbwai mbwai tu , Ulaya hawawez kukaa kimya kizembe
 
Kwani nyuklia anazo peke ake!,huyu jamaa kazidi kelele.Watu wengi duniani wanajua madhara ya silaha za nyuklia sasa kabla hajazitumia hao hao wakuu wake wa jeshi wanaweza wakamgeuka,watu wanapenda maisha na yeye ni kiongozi tu wananchi wake wakichachamaa putin ataomba poo,kumbuka pia kuna watu wa karibu yake watakuwa wanakipigia mahesabu kiti chake.Vita ya nyuklia haitomletea yeye ushindi ila itabadirisha dunia,pumbavu tu ndo ataanzisha ujinga wa nyuklia.
We ndio akili huna kabisa. Unafikiri hizo Nuke zilitengenezwa ziwekwe kama mapambo? Hizo ndio fainal say, *****.
1 tu dunia yooooote inarudi kwenye mazungumzo. Sema ulaya ni wasengerema sana. Wasipokuwa makini marekani ataiingiza ulaya kwenye vita. Jambo ambalo watu wengi wa ulaya hawalitaki.
 
Ina ony

Unaonyesha una uelewa mdogo kuhusu russia. Mrusi alishawahi kutest nyuklia bomb na ndio bomu kubwa pekee toka kuumbwa kwa ulimwengu lililowahi kujaribiwa duniani. Nakupa baadhi ya yaliyojiri.
1. Uyoga wake ulipanda juu km 67 angani.
2. Sauti ya mlipuko wake ulisikika km 900 na vioo vya nyumba kupasuka Sweden.
3. Hakujawahi kutokea sauti ya mshindo mkubwa kama hiyo duniani.
Kasome tsar bomba
Hayo majaribio ya kimya kimya hata US anafanya sana,halafu hayo ni majaribio tena yalifanywa na iliyokuwa USSR na siyo hii Russia dhaifu
 
Sawa.
Lakini hapa tunaongelea world ending catastrophe, Russia hawawezi kujaribu kupiga mataifa makubwa yenye nguvu kama marekani, lakini ana uwezo wa kupiga nchi yoyote na hayo mataifa makubwa hayatoweza kuingilia hiyo fujo sababu wanajua nini kinaenda kutokea hivyo lazima wakae kimya kwa usalama wao.

Hata hapa tu Mataifa yote yameshindwa kupinga kwa kupiga russia directly sembuse nuclear?
Marekani akishoboka anakula Tsar bomber😀😀😀 aende akapumzike kuzimu na NWO yao ya kueneza ushoga
 
Back
Top Bottom