Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,500
- 7,104
Ndio shuleni mlivyofundishwa ivyoyeye (Urusi) ana ongoza na US anafatia ktk swala la nyuklia....
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Ndio shuleni mlivyofundishwa ivyoyeye (Urusi) ana ongoza na US anafatia ktk swala la nyuklia....
😂😂😂‼️Nyambavuuu kale ka Mji ka Helsink kana warembooo huyuu putini .atalaanika akikagusa kale ka mji ka helsink
Anayo?Yani huu sasa sijui ni ujinga au? Unatoa hoja na unafanya majumuisho bila michango! Unaaminije Russia hana manpower?
Kuna watu wanafkiria kuwa Ukraine haina uwezo wa kushambulia Russia au pengine NATO haiwezi kumpa Ukraine silaha za kuharibu Russia. Wanapaswa kutambua kuwa, dhumuni kubwa la kwanza la NATO, ni kumfanya Putin achafuke duniani na Russia pia.Yaani apige nuclear alafu watu wakae kimya? Mond you marekani alitumia nuclear kipindi hizo nchi hazina nuclear, kwenye vita hakuna nchi inakubali unyonge hata Ukraine kaukataa ndio utaongelea nchi za Nato
Wakati US anadondosha mabomu ya nyuklia Hiroshima na Nagasaki nchi ngapi zilikuwa na teknolojia ya nyuklia kama aliyokuwa nayo US kipindi hicho? hata huyo urusi hakuwa na teknolojia ya nyuklia ya kumfikia US enzi hiyo na infact alipata info za kumsaidia kutengeneza hayo mabomu kijasusi (urusi alipiga chabo) from US hasahasa baada ya US kuwa na ile Manhattan project! kwa hiyo hakuwepo wa Kushindana na US kwa wakati huo kwenye silaha za nyuklia. Kwa sasa urusi anaogopa maana silaha za nyuklia wanazo nchi nyingi hivyo akizingua tu anazinguliwa na hicho ndicho pekee kinamuogopesha Putin otherwise angekuwa na hizi silaha peke yake angekuwa ashamaliza mchezo siku nyingi asingekubali kuadhirika ukraine lakin si rahisi afanye hivyo maana anajua akianza anamalizwa.United States walitumia nuclear weapons kwa hiroshima na nagasaki na hakuna nchi yoyote iliyomgusa.
Na Russia pia wanaweza kutumia nuclear weapons popote na hakuna atakaye mgusa sababu kila mtu anapenda amani nchini kwake na maisha ya wananchi wake.
Kama Russia wakianzisha vita ya nuclear mataifa mengine ni lazima yakae kimya ili kuepusha Nuclear holocaust ambayo itaangamiza dunia nzima, na hakuna mtu mwenye ubavu wa kuanzisha hicho kitu.
Ni afe mmoja au tufe wote na mpaka sasa putin ndio mtu pekee anayeonekana kuwa na will ya kudeploy nuclear na wala hajali chochote zaidi ya maslahi yake.
Mambo ya nuclear sio rahisi hivyo kwamba mimi nikipiga basi kila mtu anapiga kama manati, na kusema kwani nani hana mawe!
Hapa tunaongelea mwisho wa maisha duniani kwa ujumla au baadhi ya sehemu za dunia kuwa uninhabitable kwa mamia na maelfu ya miaka au extinction ya baadhi ya races.
Putin kabanwa mbavu, anatweta yaan anatamani vita iishe sasa haiishi huku vikwazo vya uchumi, huku mali imelipuliwa, yaani ndo maana hata anakaa mbali hata na washauri akiwa nao kwenye vikao maana haamini kama hawawezi mdhuru yaan zee halina amani kabisaaaPutin hana tofauti na mbwa koko tu. Anaishia kubweka
Pindi atakaporusha even single head kichwa chake kitakuwa kimeshakatwa na wote wamehusika vichwa vyao vitaliwa. Stay tune watu wamejiandaa na kama hujuwi angalia ukimya unao endelea juz wamedidimiza mel yake as alert kwake.yeye (Urusi) ana ongoza na US anafatia ktk swala la nyuklia....
unasifia mwiz kwa kujinadi mkimuua atawaua woteDahh! Yani wanaongea tu hata hawaogopi chochote
Nilikuwa sijui kuwa Urusi ni mwamba kiasi hichi
waliita operation ya siku chache ila ss hv ni miez miwili , sijui Putin kakuoa mpk unakaz fuvu iloooSi unajua tena wachambuzi wetu wa mipira hua wanaleta ujuaji mpk kwny Mambo ya kijeshi.
ulaya si bongo , mbwai mbwai tu , Ulaya hawawez kukaa kimya kizembeSawa.
Lakini hapa tunaongelea world ending catastrophe, Russia hawawezi kujaribu kupiga mataifa makubwa yenye nguvu kama marekani, lakini ana uwezo wa kupiga nchi yoyote na hayo mataifa makubwa hayatoweza kuingilia hiyo fujo sababu wanajua nini kinaenda kutokea hivyo lazima wakae kimya kwa usalama wao.
Hata hapa tu Mataifa yote yameshindwa kupinga kwa kupiga russia directly sembuse nuclear?
Ana umwamba gani mpuuzi tu kama wapuuzi wengineDahh! Yani wanaongea tu hata hawaogopi chochote
Nilikuwa sijui kuwa Urusi ni mwamba kiasi hichi
We ndio akili huna kabisa. Unafikiri hizo Nuke zilitengenezwa ziwekwe kama mapambo? Hizo ndio fainal say, *****.Kwani nyuklia anazo peke ake!,huyu jamaa kazidi kelele.Watu wengi duniani wanajua madhara ya silaha za nyuklia sasa kabla hajazitumia hao hao wakuu wake wa jeshi wanaweza wakamgeuka,watu wanapenda maisha na yeye ni kiongozi tu wananchi wake wakichachamaa putin ataomba poo,kumbuka pia kuna watu wa karibu yake watakuwa wanakipigia mahesabu kiti chake.Vita ya nyuklia haitomletea yeye ushindi ila itabadirisha dunia,pumbavu tu ndo ataanzisha ujinga wa nyuklia.
Hayo majaribio ya kimya kimya hata US anafanya sana,halafu hayo ni majaribio tena yalifanywa na iliyokuwa USSR na siyo hii Russia dhaifuIna ony
Unaonyesha una uelewa mdogo kuhusu russia. Mrusi alishawahi kutest nyuklia bomb na ndio bomu kubwa pekee toka kuumbwa kwa ulimwengu lililowahi kujaribiwa duniani. Nakupa baadhi ya yaliyojiri.
1. Uyoga wake ulipanda juu km 67 angani.
2. Sauti ya mlipuko wake ulisikika km 900 na vioo vya nyumba kupasuka Sweden.
3. Hakujawahi kutokea sauti ya mshindo mkubwa kama hiyo duniani.
Kasome tsar bomba
Marekani akishoboka anakula Tsar bomber😀😀😀 aende akapumzike kuzimu na NWO yao ya kueneza ushogaSawa.
Lakini hapa tunaongelea world ending catastrophe, Russia hawawezi kujaribu kupiga mataifa makubwa yenye nguvu kama marekani, lakini ana uwezo wa kupiga nchi yoyote na hayo mataifa makubwa hayatoweza kuingilia hiyo fujo sababu wanajua nini kinaenda kutokea hivyo lazima wakae kimya kwa usalama wao.
Hata hapa tu Mataifa yote yameshindwa kupinga kwa kupiga russia directly sembuse nuclear?
Alifanyia Kwenye eneo linaitwa novaya zemlyaHatari sana...Vipi athari zake vipi mionzi havikuleta athari?alifanyia majaribio wapi?