Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

Mkuu Russia na US wote wanasapot magaidi.Mbona Russia anawapa silaha na kusapot Taleban. US anaunga mkono ISIS.Iran inaunga mkono Hezbollah. Israel inatibu ISIS.
Hivyo hakuna hata mwema sema tu wanazidiana.

Hapa wanaowindana ni U.S.A na RUSSIA, ktk proxy war.
 
Mkuu Russia na US wote wanasapot magaidi.Mbona Russia anawapa silaha na kusapot Taleban. US anaunga mkono ISIS.Iran inaunga mkono Hezbollah. Israel inatibu ISIS.
Hivyo hakuna hata mwema sema tu wanazidiana.
Siku hiz umeacha upro~USA umeamua kuwa mkweli ukiacha unazi unachambua vizur sana taarifa
 
Ninacho hisi mimi ni wamarekani kuandika vitu vya urusi ili yeye auze siraha kwa majirani wake navurusi
 
Hii haina ubishi, U.S.A hawataki serikali ya ASSAD, wkt RUSSIA ndio mshirika wake mkuu na aliyeanzisha ISIL anajulikana, anae.sapoti waasi wa Syria anajulikana. na mwisho anaye.test zana zake Syria anajulikana. Ila aliyeenda kufanya kweli kafanya kweli ni rafiki wa hali na mali.
Anayerusha mabomu ya sumu kuua hata vichanga anajulikana!!
 
Back
Top Bottom