Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

3482cad322f6716009b5319fb4e910c9.jpg
Tu-95 Bombers

Jeshi la Urusi limefanya mashambulizi dhidi ya ISIS kwa makombora yake mapya Kh-101 strategic cruise missile. Sehemu za kuhifadhia silaha na kituo cha mawasiliano cha kundi hilo la kigaidi viliharibiwa.

Ndege za kijeshi za Urusi Tu-95 ziliruka toka kambi ya jeshi nchini Urusi kuelekea Syria huku zikijazwa mafuta angani kufanya mashambulizi hayo.

884880ac300e3c6af61fd49a3e7edd6b.jpg
Kh-101 Cruise missile

Makombora hayo ya Kh-101 yana uwezo wa kwenda hadi umbali wa 4500 km lakini mahali yalipofyatuliwa ni 1000km toka Syria


MY TAKE; Naona Syria imekua ni sehemu ya kila nchi kujaribu silaha zake kuanzia Marekani, Urusi, Israel, Uturuki, Iran, etc, baada ya Urusi sijui nan atafata kwenda kujaribu silaha yake mpya?!

Tanzania pia tukajaribu missile zetu hatutaki ujinga

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom