kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,497
- 5,186
Kuzaliwa mwanzo sio hoja ya kufanikiwa ,kuna waliotangulia lkn wakachelewa kufikia malengo.naaamini rusia ipo juu zaidiInawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,
My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.
US army still ni strongest n the best
Mimi nimeweka vigezo vyangu vidogo tu, Naomba na ww uweke vyako vidogo tu,Kuzaliwa mwanzo sio hoja ya kufanikiwa ,kuna waliotangulia lkn wakachelewa kufikia malengo.naaamini rusia ipo juu zaidi
Big up sana, unafuatilia. Mpk Leo hakuna ndege ya mrusi inayomfikia f22 raptor kwenye ishu ya stealth na range. Raptor inazaidi ya muongo mmoja tangu itengenezwe.Inawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,
My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.
US army still ni strongest n the best
Nyuklia haina utani..usha ambiwa bomu moja linaweza futa katika ramani nchi nzima,Kwa mabomu
Marekani ndipo yalipozaliwa
Baba j si alikwepo huko leo???Jamani CT SCAN NA MRI zimekufa Muhimbili tuzijadili hizi ni muhimu kwetu kuliko makombora ya Russia
USA kwa vita vya anga ni hatari, kwa vita vya sakafuni hakuna kitu, jiulize kilicho mshinda USA mwaka 1990 kumuondoa sadam hussein Iraq ni nini?Inawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,
My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.
US army still ni strongest n the best
NAomba kujua model ya drone ya USA iliokamatwa/USA kwa vita vya anga ni hatari, kwa vita vya sakafuni hakuna kitu, jiulize kilicho mshinda USA mwaka 1990 kumuondoa sadam hussein Iraq ni nini?
USA hamna kitu, tukija Russia katika vita bado hamjamtambua toka kumalizika kwa vita vya 2 vya dunia, kwa sasa Russian amekunjua mikono yake Syria na cremia, tuanze kumsoma wapi anaweza ku handle.
La tatu katika ugunduzi wa hizi defence, haijalishi nani mwanzo kuvumbua, hapa nani kwa sasa ana kifaa cha kileoo chenye nguvu na kasi kubwa?
Angalia mfano Iran walipo ikamata drone ya USA, nini kilitokea? katoa kitu kuliko cha USA ambacho hata kwenye rada hukioni, na amejaribu anga fulani kurusha
Kumbuka vita ni combinatiom ya air+land+navy, The way unaweza intergrate haya makundi matatu kufanya kazi kama kundi moja basi ww ni bingwa, Russia ataendelea kuwa nyuma ya USAUSA kwa vita vya anga ni hatari, kwa vita vya sakafuni hakuna kitu, jiulize kilicho mshinda USA mwaka 1990 kumuondoa sadam hussein Iraq ni nini?
USA hamna kitu, tukija Russia katika vita bado hamjamtambua toka kumalizika kwa vita vya 2 vya dunia, kwa sasa Russian amekunjua mikono yake Syria na cremia, tuanze kumsoma wapi anaweza ku handle.
La tatu katika ugunduzi wa hizi defence, haijalishi nani mwanzo kuvumbua, hapa nani kwa sasa ana kifaa cha kileoo chenye nguvu na kasi kubwa?
Angalia mfano Iran walipo ikamata drone ya USA, nini kilitokea? katoa kitu kuliko cha USA ambacho hata kwenye rada hukioni, na amejaribu anga fulani kurusha
PoiiiiintUrusi ina jeshi kubwa na hodari duniani illa ina shindwa kwa usa kwa vifuatavyo.Usa wana Budget ya kuendesha jeshi wana ndege bora duniani za kivita na umoja na baadhi ya nchi nyingi tu hadi hapa kwetu Afrika. Sasa hivi tatizo la Usa ni nchi mbili nazo sio kivita bali kiuchumi kama alivyosema Trumph ni janga kubwa na ni jambo linawakera kuwazuia nchi hizo ya kwanza ni China wapo tayari wana over take na ya pili ni india illa tatizo la india ni poverty..... other wise wapo juu sasa kiuchumi technologia na ipo very cheap na wametapakaa kila nchi. Usa wasipo kaa sawa China will be the next power wana watu wana uchumi na wana marafiki. China is the country to watch 20yrs.
Russia bado yupo nyuma sana ya USA, USA wanawekeza mabilion ya bajeti,Big up sana, unafuatilia. Mpk Leo hakuna ndege ya mrusi inayomfikia f22 raptor kwenye ishu ya stealth na range. Raptor inazaidi ya muongo mmoja tangu itengenezwe.