Urusi inaonewa sana ila ni Imara

Urusi inaonewa sana ila ni Imara

dpr1.jpg
.

Russia doomsday plane,ordered to standby as US warship heading towards Turkey water
 
Mkuu hapa Kuna kitu siyo bure Na Wamarekani kwa unafki hawajambo ! Ninachokiona Uturuki kuja kuwaamini tena US itachukua some decades.

dpr1.jpg
.

Russia doomsday plane,ordered to standby as US warship heading towards Turkey water
 
Hakuna wa kuwaweka chini ya ulinzi kikosi cha Marekani tena kambi yenye zana za siri. Dunia ingeshawaka moto.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Sexer huwajui vizuri Marekani! Utaishia kuwashabikia ki-ndezi tu! Tambua kuwa very soon, Uturuki watakuwa kwenye mzozo mkubwa wa ki-diplomasia na Marekani, the main cause being ile failed coup ya ijumaa iliyopita. Unafiki wa Marekani umedhihirika hatimaye.

In addition, usitarajie kwa situation ya sasa ya Post-Coup Turkey, Western Mainstream Media zikupe habari sahihi. Kwa hizo media, huu ni wakati wa funika kombe mwanaharamu apite.

Marekani inabidi atumie akili ya ziada ku-repair uhusiano wake na Uturuki, la sivyo, US Middle East Policy itapata mtanziko mkubwa sana.

kwa hiyo wewe umejipa sifa ya kuijua vizuri marekani?! sifa za kijinga
 
Mturuki ni kiboko yaani hawa walipigana miaka 23 mfululizo halafu wanapumzika wanaanza tena kwa miaka 12 mmmh wana roho mpaka Russia karudisha uhusiano wa kibiashara. Anatisha
Naona ni tegemeo la pande zote ila siri anaijua mturuki yupo upande gani
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom