Firefox
Senior Member
- May 10, 2011
- 127
- 71
update:
Nishapata mtu wakuu, ikitokea uhitaji mwingine nitawafahamisha, ahsanteni sana.
poleni na majukumu wakuu.
Natafuta mtu atakayenisaidia kuweka post kwenye blog yangu kwa sababu
mimi nimekuwa busy na shughuli nyingine lakini pia sipendi nisii update kwa
sababu inapata visitors kila siku lakini haiko update.
Blog yenyewe ni kwa ajili ya nafasi za kazi na matangazo mengineyo,
so utakuwa ukizitoa kwenye magazeti ya daily news na/au the guardian.
Kama upo interested nitumie e-mail.
sifa:
uwe na computer na internet connection.
Nitakuwa namlipa tsh. 300 kwa kila post moja, so kwa siku ukiweka post 10 utakuwa na tsh. 3000. per day.
Karibu sana.
P.s
"dau litakuwa likiongezeka kutokana na mafanikio atakayoleta."