Urgent for ladies only

Urgent for ladies only

Maliboro

Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
20
Reaction score
2
kama wewe ni mwanadada unahitaji mume na una sifa zifuatazo nipm haraka iwezekanavyo
-uwe na kazi
-uwe mrefu kiasi
-usiwe mbaya sana wala mzuri sana kisura
-Usiwe mpare wala mhaya
Mengine yote yanajadilika baada ya kuwaona wahitaji
Wahi nafasi ni chache.
 
...hapo nilipobold..kwa hiyo nafasi zipo kwa wadada wangapi?
kama wewe ni mwanadada unahitaji mume na una sifa zifuatazo nipm haraka iwezekanavyo
-uwe na kazi
-uwe mrefu kiasi
-usiwe mbaya sana wala mzuri sana kisura
-Usiwe mpare wala mhaya
Mengine yote yanajadilika baada ya kuwaona wahitaji
Wahi nafasi ni chache.
 
kama wewe ni mwanadada unahitaji mume na una sifa zifuatazo nipm haraka iwezekanavyo
-uwe na kazi
-uwe mrefu kiasi
-usiwe mbaya sana wala mzuri sana kisura
-Usiwe mpare wala mhaya
Mengine yote yanajadilika baada ya kuwaona wahitaji
Wahi nafasi ni chache.

vipi kuhusu kiwango chake cha elimu au umbo lake (in terms of body size)?
 
Kama hana kazi anasoma degree tu na anahizo sifa pia hatakiwi
 
kama wewe ni mwanadada unahitaji mume na una sifa zifuatazo nipm haraka iwezekanavyo
-uwe na kazi
-uwe mrefu kiasi
-usiwe mbaya sana wala mzuri sana kisura
-Usiwe mpare wala mhaya
Mengine yote yanajadilika baada ya kuwaona wahitaji
Wahi nafasi ni chache.

Yoooh maweeeeee.... Hapo kwenye red ndo pameniangusha! Wakora waitu..........
 
kipimo cha ubaya au uzuri sana wa sura ni ipi,?................
 
Back
Top Bottom