Ureno watafanikiwa kutetea Euro Cup, Sioni wa kuwazuia

Hahahaha ona Sasa mkuu maana ulisema huoni wa kuwazuia
Dah! Fifa hawakukosea kuwapa Belgium nafasi ya kwanza kwa ubora wa soka duniani kwa sasa!! Hata hivyo kipindi cha pili belgium walikiona cha moto! Waliteseka sana!
Nawapongeza sana Belgium. Natamani tukutane nao kwenye kombe la dunia mwakani!
 
Unasemaje mkuu..!! Rudia Tena kusoma ulichoandika.
Hivi pale Ufaransa wangefuzu bila ya uwepo wa Kante Ngolo??

Ngolo Kante ndie kilaza wao uwanjani, au mpira unatizama kibanda umiza mkuu? mana ukitaza mechi kwenye vibanda umiza focus ya mchezo inakua haipo vizuri.
 
Back
Top Bottom