mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
- Thread starter
- #21
Ronaldo amethibitisha kuwa umri ni namba tu!! Wanaoitwa vijana hawana ubavu wakupambana naye! Mbape ni kijana sana lakini katika mechi tatu kwenye kundi lake amefunga magoli mangapi? ni 0!! Ronaldo kwenye kundi hilo hilo amefunga 5!! Serie A ameibuka mfungaji bora! Na mwakani atakiwasha kwenye kombe la dunia na hana mpango wa kwenda Marekani! Mwenye mpango wa kwenda Marekani ni Messi!! Tayari Messi yuko kwenye mipango ya kusajiliwa Marekani kwenye timu inayomilikiwa na David Bekam.Sijui kama ni macho yangu au ndo ukweli wenyewe, CR7 ameshafika mwisho sasa, kwa ile pace aliyokuwa nayo ujanani, siwezi kushangaa katika umri wake huu ila naona kama atafifia kwa kasi sana, ni bora apumzike kwa heshima tu, ameshafanya karibu yote kwenye soccer, lililobaki ni wazi haliwezekani, hivyo akubali yeshe tu😊 asisubiri kusajiliwa na Sheffield Utd au kwenda Uchina au US.