Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 14
Denmark na nchi zingine za Scandinavia, zimeendelea sana katika alternative energy
sio kwa sababu wanapenda au kwa sababu ni bei rahisi. Wanafanya hivyo kwa sababu sera
za nchi zao zinafanya hivyo. Na sera ikibadilika vichwa vinavyotengeneza alternative
energy ndio zitavyotumika kwa NYUKI au nguvu nyingine.
Mwanagenzi, nimeona Mkuu! Tofauti ni context. Wale ni waingereza na sisi ni watanzania. Mahitaji yao ya nishati ni makubwa mno na wanakokaa alternative nyingine ni haba. Sisi hatujafika huko na tunauwezo kabisa wa kukidhi mahitaji yetu kwa kutumia nishati mbadala. Kwa mazingira yetu nishati mbadala na kuongeza efficiency katika matumizi yetu makes more sense. Utaona hata waingereza hawataki kuingiza hata senti moja ya serikali katika mradi huu. Lakini kutokana na maendeleo yao na uwezo wao wa kusimamia vizuri mikataba, mashirika binafsi yanaweza kujitosa. Experience yetu ni kuwa hatuna uwezo huo ndiyo maana mpaka sasa wakina IPTL wanatuendesha.
Bin Maryam, Scandinavians wamewekeza zaidi kwenye nishati mbadala kutoka na concern zao kuhusu environment. Neno Sustainable Development lilipewa msukumo sana kutokana na ripoti iliyotayarishwa na kamati iliyoongozwa na aliyekuwa waziri mkuu wa Norway, Gro Harlem Brundtland mwaka 1987. Ripoti yenyewe iliitwa "Our Common Future". Toka wakati huo, sustainable development na impact ya matumizi ya nishati kwenye mazingira imekuwa mojawapo ya nguzo za sera za nchi hizi. Kitu kingine kilichochangia ni fall-out kutokana na Chernobyl disaster iliyotokea Ukraine mwaka 1986. Hii iliwafanya waangalie tena dependence yao kwenye matumizi ya Nyuklia. Kwa wakati huu, nadhani ni Finland peke yake ambayo inajenga kinu cha nyuklia katika nchi hizi. Hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na haja ya Finland kutaka kujitoa kuwa tegemezi wa vyanzo vya nishati, hasa kutoka Urusi. sera katika nchi hizi inasukumwa na utashi wa jamii na si otherwise. Hauwezi ukasema maamuzi yao yanatokana na sera na si kupenda kwao. Hii kwa kiingereza inaitwa Oxymoron.
Ndugu Wananchi !
Napenda kuwafahamisha kuwa kitu katika kitu kikubwa ambacho kilimleta Rais Bush hapa kwetu ni kutokana na Taarifa za kijasusi kunifikia mikononi mwangu ya kuwa ni katika kuja kuweka mambo sawa na Mkuu wetu wa Nchi namana safi ya kuchukua hazina yetu hiyo na kujiwekea mazingira bora zaidi ya namna atakavyo weza kushindana na Wazee wa far East ambao wao wameonyesha usugu wa kutomuogopa kwa lolote.
Lingine ni namna atakavyo jiwekea mazingira ya kuendelea kuchukua Hazina ya vito mbalimbali vya thamani pale Congo ya Kabila ndio maana alikwenda Rwanda na kujidai kujenga barabara za mipakani tu kama kule Rukwa na Ruvuma hana lolote na ule mpango wa reli ya kutoka Rwanda hadi Bongo Bandari ya salama ni weka !
Sasa mkae mkao wa kuliwa tu ! Poleni sana !
Ndugu Wananchi !
Napenda kuwafahamisha kuwa kitu katika kitu kikubwa ambacho kilimleta Rais Bush hapa kwetu ni kutokana na Taarifa za kijasusi kunifikia mikononi mwangu ya kuwa ni katika kuja kuweka mambo sawa na Mkuu wetu wa Nchi namana safi ya kuchukua hazina yetu hiyo na kujiwekea mazingira bora zaidi ya namna atakavyo weza kushindana na Wazee wa far East ambao wao wameonyesha usugu wa kutomuogopa kwa lolote.
Lingine ni namna atakavyo jiwekea mazingira ya kuendelea kuchukua Hazina ya vito mbalimbali vya thamani pale Congo ya Kabila ndio maana alikwenda Rwanda na kujidai kujenga barabara za mipakani tu kama kule Rukwa na Ruvuma hana lolote na ule mpango wa reli ya kutoka Rwanda hadi Bongo Bandari ya salama ni weka !
Sasa mkae mkao wa kuliwa tu ! Poleni sana !
Umeme wenyewe umetushinda ku-manage na kuusambaza kwa idadi kubwa ya Watanzania. Hivi kweli tekinolojia ya nuclear tutaiweza?
By WILFRED EDWIN
THE EAST AFRICAN
Posted Sunday, October 26 2008 at 10:50
Lawrence Masha, Deputy Minister for Energy and Minerals, said that despite the fact that nuclear technology is sophisticated, what hinders its application in Tanzania is the low demand for electricity.
Mr Masha said a single nuclear plant is capable of producing a minimal of 5,000MW of power, while demand in a country like Tanzania, does not reach even 1,000MW at peak.
But critics say it is political rather than technological reasons that have held back uranium research in countries like Tanzania.
Hata kuwauzia nchi jirani inawezekana, lakini Bongo ndio hivyoo, viongozi wetu ni Blah blah tuuu.Kwa maneno mengine hilo mashine la umeme la Uranium ukiliwasha umeliwasha, halina ku regulate power output, wala kusema ujenge mtambo mdogo mdogo, au ku u feed huo mtambo Uranium kidogo kidogo ili usitoe hizo 5000MW ambazo hazihitajiki. Au ?
Maana kihabari hakiko cohesive. Sijui kama ni mtoa habari (hao mawaziri wawili ) au mleta habari (waandishi), lakini mwanzoni inaonekana inasemwa kwamba tunahitaji umeme zaidi. Mwishoni kahabari kanasema Waziri kasema umeme wa Uranium ni mwingi kuliko tunavyohitaji. Well, sasa hivi kila anaetaka umeme Tanzania (demand) anapata ? Kama jibu ni hapana, basi tujenge huo mtambo tuu-feed Uranium aste aste. Haiwezekani ? Kwa nini ?
Na kama mnatuambia mtambo wa Uranium ukishauwasha umeuwasha, yani scientifically haiwezekani ku moderate power output ya atomic energy plant, sasa wanacho explore cha zaidi hapa ni nini hasa, shimo la "kuzitupa" hizo extra 4000MW ? Maana si mmeshasema hatuhitaji that much power, and apparently huo mtambo ukiwashwa hauzimiki!!!
Na hizo political considerations mwandishi alizodokeza zinazozuia kuanzishwa kwa vyanzo hivyo vipya vya nishati ni zipi hizo? Zisipotajwa na kutuachiwa wasomaji tukatathmini maantiki zake inakuwa kama hadithi ya kidaku daku. Ya kutafuta mchawi. Yani huwezi kusoma taarifa ya chombo cha habari chochote Tanzania ukatoka unajua mawili matatu zaidi ya ulipoanza kusoma. Au kama mimi ndio sielewi, mtu anieleweshe hapo juu kinaelezwa nini hasa.