Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 14
Eddy, hawa wanataka kuchimba na siyo kuwekeza kwenye kinu etc. Hii uranium watakayoichimba ni kama dhahabu na mineral nyingine wanazozichimba na sisi tunabakiwa na mashimo tuu! Hakuna mtaji hapa!
Tatizo sio sisi tunaong'ang'ania vya zamani. Hii teknoloji mnayoibebea bango si ya leo. Imeanza kutumiwa toka fifties. Nyinyi wenzetu ndio mnakuwa single tracked. Mnakataa kabisa kuangalia alternatives ambazo zinajitokeza na kuanza kupewa umbele katika nchi za wenzetu mkikazania hii ambayo mnaona itatuweka kwenye chati. Hizi tunazozingumzia ndiyo wenzetu wanawekeza ilikuondoka kuwa tegemezi kwenye nyanja hii. Teknoloji hiyo ya nyuklia itatuweka kuwa tegemezi tukitegemea good-will ya wakubwa ili tuweze kuendelea nayo. Mimi sioni huo uhuru mnaodai utapatikana vipi kwa kutegemea chanzo ambayo ili tuianzishe itatubidi kukopa kwa wenye nazo, kukubali annual inspections n.k. Cutting edge resarch ni kwenye alternative energy sources na sio kama mnavyodhani kwenye hiyo nyuklia. Tusiwe kama North Korea, wana mabomu ya nyuklia lakini wanashindwa kuwalisha watu wao.
Sasa unalalamika nini? Tukisema tujifunze tuanze wenyewe unaleta longolongo. Tukiwapa WAPWEKEZAJI unasema watatuachia mashimo tu. Je unapendekeza nini? Maana mpaka sasa unakatoa hoja kwa kuonyesha uzembe kwa vile tulivyoshindwa au tunavyoshindwa
Nisamehe kutumia jina lako vibaya. Ni usingizi na kukosea kidogo.
1./ Wangetucheka, wangetuzuia na kutupa sanctions. Vitu hivi hutangazi. unafanya kisiri, unashitukiza ukikaribia kumaliza. Au dili na warusi au wachina. Au wape madini wamarekani moja kwa moja, waambie wajenge hiyo Nuclear Plant.
2./ Priority yao sio wakufundishe technology. Priority ya wazungu ni kukufanya wewe uwategemee (soma Economic Hitman labda itakusaidia kuelewa). Ndio maana waChina na waHindi wanawasumbua vichwa, maana hawahitaji msaada wao. Pia, wanafunzi wetu wanapata scholarship za 'arts' nyingi....lakini engineering chache. Kuna watu wanasomea kilimo nje ya nchi, lakini bado tuko nyuma katika kilimo. Mzungu hakusaidii, jisaidie mwenyewe (read UKRAINE).
3./ Hapana, siwezi kuwa hivyo, siko involved na nyuki, ila kama naona opportunity hiyo ipo TZ, then najipachika sehemu huku for atleast 5 yrs (hii ni field iliyo na siri, na lazima upigwe checks kibao. wakati nasoma degree, pass yangu ya bongo wali-kataa kunichukua kama intern kwenye plant ya Nuclear, ila kuna washikaji waingereza waliingia kiulaini, maana they needed people). Ila naamini kuna waTanzania wengine lazima wako katika field hiyo, pia tuna Physicist wazuri tu around the world. Kuna mwalimu wa kibongo alinifundisha Physics, yuko Australia, mtu kama huyo si kawaida. Kama tuna mbongo NASA, basi sehemu zingine wapo tu, better equipped.
Ila ukija katika fani zingine za non/renewable sources, hizo naweza contribute moja kwa moja (na nina imani zaidi na hizi kwa Tanzania, taking into account our competence as peoples). Mimi nimespecialise katika sector moja, ila kutokana na foundation, ni rahisi kuingia sector yoyote (then give a year to feel specialised in that sector).
(Ukitaka kujua zaidi ni-PM).
Anyway wengine tuna mipango ya kurudisha passport.
Anyway wengine tuna mipango ya kurudisha passport.
Naomba tukubaliane kutofautiana. Kama mwenzangu hauoni tofauti kati ya mwekezaji kwenye KUCHIMBA na mwekezaji kwenye uzaishaji wa nishati naona tuna tatizo kubwa la mtizamo. Au mwenzangu unadhani hizo 3 au 5% za madini haya ndiyo zitatupa utajiri wa kuinvest kwenye nyuklia? Mwenzangu unaupenda ubepari kwa kuangalia Manhattan, mimi nauchukia kwa kuangalia South Bronx! Wewe unaona maghorofa ya city centre Dar na vijishopping CENTRE vya shoprite mimi naangalia mbavu za mbwa zilizotapakaa ndani na nje ya Dar! Hatutaweza kukubaliana hata iwe vipi.
HII SASA PURE SIASA.
Kidumu chama cha mapinduzi.
plan iliyopo umeme wa nuclear utatumika kwenye iron smelter pale liganga na ziada itaingia grid ya taifa.
NDC Mtwara spatial development initiative coordinator Pascal Malesa says that the total capital investment for the Mchuchuma coal-to-electricity project is expected to be more than $600-million. The Liganga iron-ore project is valued at more than $1-billion and is expected to be privately financed.
Malesa explains that the power station will be integrated with the iron-ore project at Liganga, which is about 80 km away. The Mchuchuma coal project will supply coal for iron and steel manufacturing, create a power and industrial centre in the region, and thereby catalyse industrialisation in the country.
FM swali zuri umeangalia life of mine ya liganga na mchuchuma?
BM, kuna watu wameenda shule vizuri tu! uwezo wao kuchambua mambo ni mpana sana, ukizingatia wako nchi zilizoendelea. wasiwasi wangu mambo yao hayaendi vizuri huko, unajua kubeba mabox kuna muda wake na hakuna altenative job. mawazo yao ccm iko nyuma ya misoto yao! sasa hata uwape mawazo mazuri vipi so long yako tz hawataelewa, karoho ka korosho kamewajaa.
Mawazo ya Fundi ni mazuri, kufikia 2010 umeme wa ethanol utakuwa unazalishwa na katani ltd pale tanga, waholanzi watakuwa wanazalisha umeme wa wind farm pale kilwa, wizara ya afya itaweka solar power zahanati zote nchini. songas wataanza kuzalisha gas za kutumia kwenye magari, TPDC wameshaanza kuandaa dispensing stations, magari ya gas yapo karimjee motors (toyota). Kiwira coal mine itakuwa inazalisha 450mw. plan iliyopo umeme wa nuclear utatumika kwenye iron smelter pale liganga na ziada itaingia grid ya taifa.
2009 Dar hapatakuwa na vipanya tena zitakuwa coaches tu kupitia mradi wa DART.
watanizangu waliomtimua mama kabaka kwenye harambee ya ujenzi wa shule hatutakuwa na namna ya kuwasaidia watoto wao, tumewaanzishia mashamba ya chai kwa kuwa wapiga debe hawatakuwepo tena stand za mabasi. Mkuu pasaka nitakuwa sopa lodge kwa mapumziko karibu sana tubadilishane mawazo.
AFANA-LEIK Bin Maryam mswalie mtume mwanakwetu, si tunasikia Membe anatakapitisha uraiakuwili, vuta subra kidogo tu mambo yatenda sawa, au unataka kurudi kwa visa na kulipishwa midola lukuki Ngorongoro?
The Government will announce its controversial decision on whether to give the go-ahead for a new generation of nuclear power stations on Thursday, Downing Street said.
(Advertisement)
Prime Minister Gordon Brown's spokesman said the announcement would come in a statement to MPs from Business Secretary John Hutton.
The Cabinet is expected to discuss the move at its regular weekly meeting on Tuesday - when ministers are expected to agree that new stations should be built to secure Britain's future energy supplies.
Mr Brown's spokesman said: "John Hutton will make a statement to MPs and part of that will be the decision on whether or not to go ahead with the next generation of nuclear power stations."
Mr Brown's spokesman went on: "There has been a consultation under way. That consultation has now concluded and the Government now needs to make a decision in the light of that consultation, and it will be announced what that decision will be on Thursday."
The spokesman also confirmed that firms who build any new nuclear stations - if they are given the go-ahead - will be expected to fully fund the cost of future decommissioning of the stations.
He also said the energy companies would be expected to pay "their full share" of the cost of long-term management of nuclear waste.
The spokesman said: "If the Government does decide that new nuclear should be an option, then owners and operators would have to set aside funds to cover the full cost of decommissioning.
"We have always been clear that the full share of the costs of the long-term management and disposal of waste should fall on the operators.
"We have always been clear that if the Government decides new nuclear should be an option, operators should set aside funds for their full share of the cost of the long-term management of waste and the full cost of decommissioning."
Najaribu....Nijibu, kwa njia yoyote ile unavyoweza;
Nikupotezeana muda tu...na mie ngoja nikuulize we vipi Umepewa v linki, una utaaluma kwenye eneo hili, unadai unaweza kufanya hayo mahesabu hakuna aliyebisha na hayo Tumegee vyovyote vile kwa nini tusilifikirie bila ya kutia woga!a) Tanzania kuna kiasi gani cha coal/oil/gas? (kumbuka makampuni hayaji Tanzania kubahatisha, wanajua wamefuata nini).
b) Kwanini tunashindwa kutibu malaria, ambayo inaua zaidi ya ukimwi (lakini tunataka Nuclear)? Investment yake itakuwa cheap sana in comparison to Nuclear. A healthier nation is a smarter nation.
c) kwanini Tanzania hatuwezi kutumia maji yamezunguka nchi nzima (tumwagilie kama wa-Israel wenye man-made lakes), lakini tunakimbilia Nuclear?
!
d)kwanini Mombasa port more efficient than dar?
e)kwanini wasomi wetu wa Ukraine tunawanyanyasa na visa?
Ukiweza kunijibu haya maswali convincingly(sana sana la 'a'), I will spend as long as it takes to prove to you that Nuclear is not yet the way forward. I will even go further, nitakuomba data fulani kuhusu ardhi ya Tanzania (sehemu unayotaka kiwanda/and deposit ya waste ikae), nitaichukua kama personal project, whether it takes 3 months or 6, nitatumia muda wangu wa free nikuandikie report nikitumia technology ya kisasa......hiyo report nitafanya bure (so long you supply the info i need).
Sielewi hayo hapo juu...nieleweshe.Until then, sina muda wa kubishana na watu wanaongea politically (lead by the heart) and not scientifically (lead by the brain) on this issue. Mambo ya kuwa na vision sijui nini......YES, wote tuna ndoto......tatizo ni kuzifikia bila misingi.
Kama unajua kuhusu Uholanzi kuwa ukanda wa upepo, kwanini hujui 'wind-tunnel' ni nini? google basi....labda nimetoa kwenye vi-link.
Hapo juu hujasema chochote.