Tukisema tupende kusoma na kuelimika tunadharau. Tuna invest kwenye siasa za maji taka wakati wajanja wanakula kwa upole tu mali za nchi yetu. hakuna mtu mjinga atakayeweza kuwazuia
wakuu nchi hii inakila kitu nani katuroga tunatoa kila kitu kwa wazungu na hatufaidi chochote ni ipi Tanzania baada ya miaka 100 hebu piga picha itakuwaje nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.