Suala la utekaji amelikuta kuanzia akina Ulimboka 2012, Mwangosi 2015, Ben Saanane 2016 etcTunajua Samia ni mtu mzuri sana.
Lakini nani anamshauri kuwa utekaji ni jambo jema na litaendelea miaka yote?
Ni
Sidhani kama Mungu anaitambua hii tume isiyofanya HAKI.Mungu anajuwa kwa nini Tume imempitisha
Mkuu hizi sentensi zako za maapizo nimekuwa nazisoma kuanzia mwaka 2022. The more unamuombea mabaya, the more Mungu anam imarishaHuyu Bosi wako amekosa kibali Mbinguni na Duniani! Na ushahidi mdogo tu ni haya matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya wakosoaji/wapinzani wake, na pia rushwa isiyo na kificho.
Na akiendelea kulazimisha, basi matokeo atayaona siku si nyingi. Asome historia ya watu waliojivika ukaidi kama huu wa kwake, na aone matokeo yake yalikuwaje!
Usiishi kwa kukariri. Magufuli nilimpiga vita kwa vile ndiye chanzo cha uozo huu wa kutekana na kuua na kuharibu demokrasia.Hili jamaa wakati wa magufuli lilipokuwa linalalamika utafikiri linaakili timamu kumbe ni jitu binafsi linalopigania masilahi yake na genge lake ,Sasa hivi linasifia ujinga na kulazimisha watu waunge mkono hata mambo ya kijinga
Huyo n "Mungu" uliye naye mfukoni kwako; sis sote hatuwezi kukubaliana na mungu wa kishetani kiasi hiki cha kuleta mtu kama Samia kuongoza nchi hii.Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!
Kwa hiyo sasa hivi unaunga mkono uozo alioanzisha jiwe?Usiishi kwa kukariri. Magufuli nilimpiga vita kwa vile ndiye chanzo cha uozo huu wa kutekana na kuua na kuharibu demokrasia.
Naunga mkono hoja, Thread 'Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!' Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda
Kila jambo ni mpango wa Mungu kwenye haya maisha. Mwenyezi Mungu alipanga iwe hivyo na inakuwa.
Nilikuwa namnanga kwa sababu ndiye ailyeleta huu uovu wa kuteka na kukanyaga demokrasia. Ila Samia alikuja na 4R akawarudisha akina Lissu na Lema toka ukimbizini, akafungulia mikutano ya siasa, akawapa ruzuku na kufuta kesi zote za kubambikiza.Yaani mkuu ulivyokuwa unamnanga jiwe na sasa kindakindaki kwenye kutetea uovu wa uongozi wa sasa.... Duh!
Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!
Kila jambo ni mpango wa Mungu kwenye haya maisha. Mwenyezi Mungu alipanga iwe hivyo na inakuwa.
Kuna watu walikuwa maarufu sana (Lyatonga, Membe, Lowassa, Mtikila, Maalim Seif) kuliko hawa akina Januari, Lissu, Majaliwa, Mwigulu, Gwajima. Lakini wamekufa hawakupata uRais wa Tz