GE2025 Urais wa Tanzania ni mpango wa Mungu, kubalini tu Samia amepewa tiki

GE2025 Urais wa Tanzania ni mpango wa Mungu, kubalini tu Samia amepewa tiki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
17,560
Reaction score
27,633
Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!

1761139433879.png

Kila jambo ni mpango wa Mungu kwenye haya maisha. Mwenyezi Mungu alipanga iwe hivyo na inakuwa.

Kuna watu walikuwa maarufu sana (Lyatonga, Membe, Lowassa, Mtikila, Maalim Seif) kuliko hawa akina Januari, Lissu, Majaliwa, Mwigulu, Gwajima. Lakini wamekufa hawakupata uRais wa Tz

1761139576925.jpeg



1761139531537.jpeg

1761139625246.jpeg
 
Tunajua Samia ni mtu mzuri sana.
Lakini nani anamshauri kuwa utekaji ni jambo jema na litaendelea miaka yote?
Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!


Kila jambo ni mpango wa Mungu kwenye haya maisha. Mwenyezi Mungu alipanga iwe hivyo na inakuwa.

Kuna watu walikuwa maarufu sana (Lyatonga, Membe, Lowassa, Mtikila, Maalim Seif) kuliko hawa akina Januari, Lissu, Majaliwa, Mwigulu, Gwajima. Lakini wamekufa hawakupata uRais wa Tz

Ni
 
Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!


Kila jambo ni mpango wa Mungu kwenye haya maisha. Mwenyezi Mungu alipanga iwe hivyo na inakuwa.

Kuna watu walikuwa maarufu sana (Lyatonga, Membe, Lowassa, Mtikila, Maalim Seif) kuliko hawa akina Januari, Lissu, Majaliwa, Mwigulu, Gwajima. Lakini wamekufa hawakupata uRais wa Tz

Huyu Bosi wako amekosa kibali Mbinguni na Duniani! Na ushahidi mdogo tu ni haya matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya wakosoaji/wapinzani wake, na pia rushwa isiyo na kificho.

Na akiendelea kulazimisha, basi matokeo atayaona siku si nyingi. Asome historia ya watu waliojivika ukaidi kama huu wa kwake, na aone matokeo yake yalikuwaje!
 
Lini Umeongea na Mungu anakwambia ni mpango wake unaweza kuweka Ushaidi hapa
 
Hili jamaa wakati wa magufuli lilipokuwa linalalamika utafikiri linaakili timamu kumbe ni jitu binafsi linalopigania masilahi yake na genge lake ,Sasa hivi linasifia ujinga na kulazimisha watu waunge mkono hata mambo ya kijinga
 
Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!


Kila jambo ni mpango wa Mungu kwenye haya maisha. Mwenyezi Mungu alipanga iwe hivyo na inakuwa.

Kuna watu walikuwa maarufu sana (Lyatonga, Membe, Lowassa, Mtikila, Maalim Seif) kuliko hawa akina Januari, Lissu, Majaliwa, Mwigulu, Gwajima. Lakini wamekufa hawakupata uRais wa Tz


..Ndio maana tunasema hakuna uchaguzi , na hakuna haja ya kusumbuka kupiga kura.
 
Back
Top Bottom