Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,256
- 5,326
SINa imani kabisa na kibabu silaha,KWANZA NI MZEE SANA NA BADO ANAMPANGO WAKE NA KASKAZINI, NYINYI MTWARA,TANDAHIMBA NA KWETU VWAWA MBOZI MBEYA TUTASUBIRI SANA
Una imani na nani mkuu?
SINa imani kabisa na kibabu silaha,KWANZA NI MZEE SANA NA BADO ANAMPANGO WAKE NA KASKAZINI, NYINYI MTWARA,TANDAHIMBA NA KWETU VWAWA MBOZI MBEYA TUTASUBIRI SANA
SINa imani kabisa na kibabu silaha,KWANZA NI MZEE SANA NA BADO ANAMPANGO WAKE NA KASKAZINI, NYINYI MTWARA,TANDAHIMBA NA KWETU VWAWA MBOZI MBEYA TUTASUBIRI SANA
Sheria hairuhusu inabidi watoke chama kimoja,sasa chama gani hicho?
Dr slaa anamvuto kwa wananchi kwa sasa??
Binafsi 2010 nilimpa kura lakini kwa sasa hapana...
Kama kweli wamechemka sana sana .. Kura zitapungua sana
SINa imani kabisa na kibabu silaha,KWANZA NI MZEE SANA NA BADO ANAMPANGO WAKE NA KASKAZINI, NYINYI MTWARA,TANDAHIMBA NA KWETU VWAWA MBOZI MBEYA TUTASUBIRI SANA
SINa imani kabisa na kibabu silaha,KWANZA NI MZEE SANA NA BADO ANAMPANGO WAKE NA KASKAZINI, NYINYI MTWARA,TANDAHIMBA NA KWETU VWAWA MBOZI MBEYA TUTASUBIRI SANA
SINa imani kabisa na kibabu silaha,KWANZA NI MZEE SANA NA BADO ANAMPANGO WAKE NA KASKAZINI, NYINYI MTWARA,TANDAHIMBA NA KWETU VWAWA MBOZI MBEYA TUTASUBIRI SANA
hilo la SLAA kuwa rais wa Tanzania liko wazi ni chiizi tu ndio atabisha
Safi.japo naskia ccm na nyumba ndogo yao act wataungana
UKAWA haujasajiliwa kama chama cha siasa.Muungano wa vyama hautambuliwi kwenye sheria ya vyama vya siasa hivyo hawawezi toa mgombea uraisi na makamu toka vyama tofauti.
Wanasheria uchwara wa UKAWA hawajawashauri hilo kabla ya huo mkutano?
Huu ni ujuha tu wa habari yote hayo yanafanyika kwa katiba ipi?
ni demu wako kakujuza au tupe source