Urais uanzie miaka 60

Mkuu,
Ndio maana nikasema hiyo ya kutaka kujiongezea muda ni hulka ya mtu sababu wakati unatoa mfano wa rais kijana anayetaka kujiongezea muda,usisahau pia wako marais vijana duniani waliomaliza muda na kukaa pembeni bila shida.
 
Mkuu,
Ndio maana nikasema hiyo ya kutaka kujiongezea muda ni hulka ya mtu sababu wakati unatoa mfano wa rais kijana anayetaka kujiongezea muda,usisahau pia wako marais vijana duniani waliomaliza muda na kukaa pembeni bila shida.
Mifano ni muhimu sana mkuu. Tupe mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…