Nani anatoa pesa zote hizo na kazipata wapi? Nyerere aliuliza, " Atazilipaje?"Naomba niwaulize ndugu zangu Watanzania, ni nani anaetumia nguvu nyingi ktk hili la Mh Edo ni yeye binafsi au ni kundi fulani la wapambe wake? Kwanini Hela nyingi zinatumika kiasi hiki kuhakikisha anateuliwa? Namuomba MWANA DIWANI atupe ufafanuzi wa hili jambo. Taifa letu limefika mahali pabaya mno. No money no Leadership.