palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA mh. Lowassa na mgombea Mwenza Mh. Duni Haji wamekidhi vigezo vyote na muda mfupi uliopita NEC imemuidhinisha kuendelea na hatua ya kampeni.
View attachment 278757
Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifuatana na Mgombea mwenza mh. Juma Haji Duni wakikabithi fomu kwa mwenyeki wa NEC Jaji Lubuva.
View attachment 278760
Mh. Lowassa akiongea na waandishi wa habari
View attachment 278757
Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifuatana na Mgombea mwenza mh. Juma Haji Duni wakikabithi fomu kwa mwenyeki wa NEC Jaji Lubuva.
View attachment 278760
Mh. Lowassa akiongea na waandishi wa habari