URAIS 2015, Kigwangala naye atajwa

URAIS 2015, Kigwangala naye atajwa

Mbeya, mulugo
Tanga, makamba
Dar, idi azani
Kagera, asumpta mshama
Iringa, lukuvi
Dom, kibajaji.......


Sent from my iPad using JamiiForums

Kama Muungwana Zomboka kaweza Basi Urais wa Tanzania ni Rahisi...!!!!!!!!
 
Kigwangala hawezi kusimamia hata kilio cha mtoto mchanga.
Hakuna mwanasiasa anayeweza kusimamia mambo yake zaidi ya Hamisi Kigwangala ndani ya CCM na hata nje ya CCM...ana historia ya kusimamia madai ya ushuru wa huduma kule nzega mpaka walilipwa fedha hizi, kwa maandamano, kwa kwenda hela mpaka kilieleweka, tupeni mfano wa mwanasiasa wa chadema aliyefanya hivi katika miaka hii mitano zaidi ya kupiga kelele bila hoja na kuwadanganya wananchi! give the devil what is due to him...anaweza asiwe anatosha kwa nafasi ya Urais kwa sasa lakini ameonesha kipaji cha uongozi na kusimamia na kufuatilia maslahi ya wanyonge kuliko mwanasiasa yeyote yule kwa kweli
 
Hakuna mwanasiasa anayeweza kusimamia mambo yake zaidi ya Hamisi Kigwangala ndani ya CCM na hata nje ya CCM...ana historia ya kusimamia madai ya ushuru wa huduma kule nzega mpaka walilipwa fedha hizi, kwa maandamano, kwa kwenda hela mpaka kilieleweka, tupeni mfano wa mwanasiasa wa chadema aliyefanya hivi katika miaka hii mitano zaidi ya kupiga kelele bila hoja na kuwadanganya wananchi! give the devil what is due to him...anaweza asiwe anatosha kwa nafasi ya Urais kwa sasa lakini ameonesha kipaji cha uongozi na kusimamia na kufuatilia maslahi ya wanyonge kuliko mwanasiasa yeyote yule kwa kweli

Mbovu tu yule
 
Back
Top Bottom