URAIS 2015, Kigwangala naye atajwa

URAIS 2015, Kigwangala naye atajwa

Katika kinyang'anyiro cha urais 2015 dr. Hamisi Kigwangala naye ametajwa baada ya January Makamba kutangaza nia ya kugombea.

Source: Nipashe leo.[/QUOTE)
.... sasa hii kali ya mwaka! Kukosekana kwa Uwajibikaji ndani ya CCM, Kukosekana kwa Malengo Makuu ya Kitaifa kunamfanya kila dogs ndani ya CCM kujiona kuwa anaweza kuiongoza nchi hii...Grrrrr
 
huwa nashangaa sana ninaposikia eti wasira naye urais,wasira kabisa awe rais wa tz
z,? mi nitahama rasmi hii nchi. eti kingwangala, eti makamba,! kikwete amehzribu kabiza taasisi ya urais wa hii nchi.

Bado Rose migiro,Ana Tibaijuka nao wanataka kugombea urais
 
mpaka ifike 2015 mpaka wassira anataka uraisi nani atampa kura ccm ni chama cha wahuni ndo kila mtu anatangaza nia ya kugombea uraisi bado mwigulu naye atajitokeza huko mbeleni
 
Eti Lizaboni , ifweero , utaifakwanza, Mjepo, simiyu yetu , nao watatangaza nia ya kugombea uRahisi ...?.
 
Jamani Kutoka Tabora mgombea pekee tunaemjua ni Samwel Sitta.
Kutoka Mara ni Stephen Wassira.
Arusha ni Edward Lowassa
Lindi ni Benard Membe
Endelea....

Kigoma ni Zitto Kabwe...
Tanga ni Janauary Makamba
Mwanza ni Ngereja
Mara ni Prof Mhongo si wasira
 
Haya ndio matokeo ya JK kuwa rais,kama huyu kaunga unga mpaka kafika,kwa nini Kigwa asiweze,hakuna CCM anayeweza urais
 
Katika kinyang'anyiro cha urais 2015 dr. Hamisi Kigwangala naye ametajwa baada ya January Makamba kutangaza nia ya kugombea.

Source: Nipashe leo.

Hata mzee wa msituni captain Komba naye katajwa kuutaka uraisi na makamu wake akiwa prof maji marefu.
Source: Daily news.
 
naona urais sasa imekua kandambili kila anayejisikia anavaa
 
Jamani Kutoka Tabora mgombea pekee tunaemjua ni Samwel Sitta.
Kutoka Mara ni Stephen Wassira.
Arusha ni Edward Lowassa
Lindi ni Benard Membe
Endelea....
Ana Makinda wa Iringa
 
JK na uongozi wake wa hovyo hovyo amefanya ionekane kila MTZ aanaweza kazi ya U-Rais na ni rahisi tu!

Kama JK unakaa USA/Canada siku 15 kusubiri upewe cheti na University kuna ugumu gani kuwa Rais?Hata mm naweza tu!!
 
Ki.we.te ameifanya ikulu kuonekana ni mahali mchekea sana! Maana kila mtu sasa anasema kama dhaifu aliweza mimi nitashindwaje? Mpaka akina Nchimbi wanaona wanafit!
 
Hata mimi nitatangaza nia muda si mrefu
 
Jamani Kutoka Tabora mgombea pekee tunaemjua ni Samwel Sitta.
Kutoka Mara ni Stephen Wassira.
Arusha ni Edward Lowassa
Lindi ni Benard Membe
Endelea....
Kapt. Komba kutoka msituni.
 
jk kashusha hadhi ya ikulu aisee,nkamia atatangaza naye anataka urais!
 
By The Way, Kigwangala Kwetu Sisi Wananchi Wa Nzega Hapa Kijiji Cha Kashishi Hatufai Kabisaa.Tumepunjwa Malipo Ya Fidia,tumekuwa Tukimpigia Sm Lakini Hana Msaada Wowote!! Ukimpigia Sm Anakwambia Andika Sms Ukimwandikia Hajibu!! Hy Haitoshi Barua Ya Malalamiko Ipo Ofisini Kwake Katika Hili Bado Anafaa Kuwa Raisi Ikiwa Ameshindwa Kututetea Wananchi Wake?Kama Yupo Jukwaa Hili Ajitokeze Akanushe Haya Ninayoyasema Hapa Nimuumbue Zaidi Niweke Ushahidi Wa Nakala Ya Barua Na Sms Alizotumiwa Kwa Kutaarifiwa Mapunjo Hayo.Hatothubutu Kujitokeza!! Tanroads Kw
 
Katika kinyang'anyiro cha urais 2015 dr. Hamisi Kigwangala naye ametajwa baada ya January Makamba kutangaza nia ya kugombea.

Source: Nipashe leo.

Wakuu, hivi Yule aliyewahi kuwa naibu waziri wa elimu aliyeitangazia dunia kuwa Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe nae si anafaa sana kuwa rahisi wa Tanzania!


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Jamani Kutoka Tabora mgombea pekee tunaemjua ni Samwel Sitta.
Kutoka Mara ni Stephen Wassira.
Arusha ni Edward Lowassa
Lindi ni Benard Membe
Endelea....

Mbeya, mulugo
Tanga, makamba
Dar, idi azani
Kagera, asumpta mshama
Iringa, lukuvi
Dom, kibajaji.......


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Back
Top Bottom