Katika kinyang'anyiro cha urais 2015 dr. Hamisi Kigwangwala naye ametajwa baada ya January Makamba kutangaza nia ya kugombea.
Source Nipashe leo.
We utakuwa unaumwa dengue kama jina lako lilivyo
Jamani Kutoka Tabora mgombea pekee tunaemjua ni Samwel Sitta.
Kutoka Mara ni Stephen Wassira.
Arusha ni Edward Lowassa
Lindi ni Benard Membe
Endelea....
Kigwangala hawezi hata kupewa fomu ya urais kwa dhambi aliyoifanya ya kumtelekeza baba yake kwa kuwa mbunge,akiwa rais sindio atalitelekeza taifa?
huwa nashangaa sana ninaposikia eti wasira naye urais,wasira kabisa awe rais wa tzKweli urais ni rahisi.....sijui nani kau simplify Hivyo ...hata vitumbua ?
si afadhali Kigwangala, kijana mdogo , SLAA na uzee wake ule kamkana baba yake, yeye mbona mnamuotesha ndoto za mchana kuwa kuna siku anaweza kuwa rais?
Lowassa mzee wa Richmond aliyekataliwa na Nyerere kwa kutiliwa shaka juu ya chanzo cha utajiri wake? Au kuna Lowassa mwingine?