Nyangeta Marwa
Senior Member
- Nov 10, 2014
- 136
- 60
- Thread starter
- #41
Lowassa kakimbilia nje ya nchi kwa aibu. Kadhalika Ndugai. Sijui Membe yupo. Urais huu utawaua watu. Mimi najiuliza kwani lazima mtu uwe Rais wa nchi hii?
KaburiiiiHivi Jack Gotham ni nani mpaka kambi ya Lowasa wanamuogopa sana? Ina maana huyo Jack hahongeki?
Mkuu hadi Leo wanamfikiria membeKwahiyo PINDA na MEMBE wanafikiriwa kuwa MARAISI.
SH.IT ! COUNTRY,.
Nani huyoMtu huyu mchafu, hatufai
HatariHaa! Nilikuwa sijui kumbe huyu jamaa ndio mwenye tenda ya vitambulisho vya Taifa? Nchii ni noma ukiwa TISS tu, utakula nchi utakavyo ilimradi ule na wazito.