Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
hivi kwanini wanatulazimisha turuhusu uraia pacha? hawa maforeigner waeleze uraia pacha utaleta faida gani kwa Tanzania. kwa akili zao wanafikiri Tanzaniat unatafuta wawekezaji wa level yao? yaani nchi kubwa kama hii itafute wawekezaji wanaotegemea kupata hela toka kwenye kutunza vizee na kuosha vyombo vya wazungu? NJOONI BASI muwekeze migodini, njoni mchimbe visima vya gesi, njoni muwekeze hata kilimo tu kama hata iyo ardhi mtaweza kununua, umeosha masaburi unafikiri watz tunakutegemea utangaze utalii au uje uwekeze? nyie hamna faida kwa watz na wala msitusumbue, hatutaki uraia pacha period!