Urafiki wa Kweli

Urafiki wa Kweli

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,955
Reaction score
16,006
real friend.jpg
 
Sasa hyo dogo chini si kashka uchafu kweli..!!
 

Hiki kichwa cha habari naona kinakufaa wewe mankachara kwani hichi kidude unachoendesha ni best friend wa watoto walio wengi. Nakumbuka enzi zangu nikiendesha hako kafari hata nyumbani wapike wali mi simo niko mitaani tu natafuta abiria na magunia ya mkaa.
 
Last edited by a moderator:
Hiki kichwa cha habari naona kinakufaa wewe mankachara kwani hichi kidude unachoendesha ni best friend wa watoto walio wengi. Nakumbuka enzi zangu nikiendesha hako kafari hata nyumbani wapike wali mi simo niko mitaani tu natafuta abiria na magunia ya mkaa.

kweli baba akikificha hiki kifaa aweza juta, ata dukani huendi. Ila akikitoa waweza kuenda 1km ukaona ni karibu tu. Tumia hiki kifaa ufike mbali
 
Last edited by a moderator:
Mazingira nayo yanaruhusu,ingekua Kwetu,dogo angelazwa baada ya siku mbili.
 
Hiki kichwa cha habari naona kinakufaa wewe mankachara kwani hichi kidude unachoendesha ni best friend wa watoto walio wengi. Nakumbuka enzi zangu nikiendesha hako kafari hata nyumbani wapike wali mi simo niko mitaani tu natafuta abiria na magunia ya mkaa.

wewe kweli ulicheza utotoni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom