Ulitaka wapakatane???Hakuna urafiki wowote hapo. Kwanza angalia tu wanavyotegana
Mbona hawakamatwi? Au mahakama hamna?? Au nchi haina sheria ya kuwakama hao criminals?Four criminals
Akili zako ndipo zinapoishia kwani wakimbizi hao mpaka uje useme urafiki wa maslahi ama kweli nimeamini kuna waliosoma kuelewa na waliosoma na kuelimika sasa hao watu watatu wakiwa marafiki inatuadhiri vipi sisi wa Tanganyika zaidi ya milioni 45? Ficha ujinga wako
Halafu ndiyo ninyi think tank wa ccm na serikali mnaodanganya kuleta viwanda, kweli? Umaskini wa Tanzania nimegundua, upo kqa mapenzi ya Mungu.
Usinichekeshe wewe....hivi ile mahakama ya wapiga rushwa aka mafisadi ameshawafunga wangapi vile??Kagame na Magufuli ni wapinga rushwa, ubadilifu, wapinga ufisadi na zaidi wansdumisha mahusiano kati ya nchi zetu
Rushwa na wakati katupiga pesa ndefu kwenye ndege kwa ushauri qa huyo huyo Tall wa kigali.....eti mpinga ufisadi ....kala rambirambi eti anapinga ufisadiJibu zuri sana
asante brother kwakutusaidia kushare,kunawatu unaweza kudhani unapowawekea dis caption unawachafua kumbe ndio unazidi kuwa ongezea wafuasi na mashabiki...!!!hii ina dhihirisha uwezo wa vijana wa lumumba nikuongelea watu sio sera za chama chao maybe ndio viwanda walivyo ahidiwa
Kama wewe unavyo danganywa na ccm,kisa njaa zakoHawa ni janga la kitaifa, wanadanganywa na Gwajima kwamba iko siku nao wataingia ikulu
we pia nikijana wa Lumumba??Mbona kama umejibu hoja yako binafsi. Muwe mnakumbuka basi sehemu nyingine mnazochangiaga hoja kama hizi sehemu zingine. Iwe Lumumba au Keko. Hoja yake binafsi Huna cha kuchangia wahi chooni
Kwa hyo wanasiasa hawatakiwi kuwa marafiki badala yake wawe maadui!! Akili fupi hiikama wanasiasa, urafiki wao lazima uwe na maslahi kwa taifa, otherwise wanaweza kuwa wanapanga njama ovu kwa taifa hasa ukizingatia mpambe wao ni huyo Mtumishi wa Mungu mwanasiasa, atawapotosha