Yawezekana hujajua ninachokilalamikia.
Niaminivyo mimi km asingesema ana gari huyu mtu angekuwa na uhuru zaidi. Ila amekosa kuwa huru kutokana na hofu hiyo.
Na kitendo cha kunibia anadrive nikamuona kwenye daladala kilimfedhehesha sana. Kwa misingi hiyo ndo maana nasema akakata na communication ukipiga hapokei.
Na si kuwa wala alinitaka kimapenzi. No just a friend labda km alikuwa anataka kuelekea huko.
Na vilevile as I said ni mtu mwenye familia yake and I have mine too.
Kwa misingi hiyo ukisoma thread yangu utaelewa vizuri nalenga nini na wala silalamiki.
Ila nawashauri watu tu kuwa wakweli.
Thanks
Kwani wenye magari binafsi huwa hawapandi daladala? Au wanaopanda daladala wote hawana magari yao binafsi?
Na si kuwa wala alinitaka kimapenzi. No just a friend labda km alikuwa anataka kuelekea huko.
Na vilevile as I said ni mtu mwenye familia yake and I have mine too.
Kwa misingi hiyo ukisoma thread yangu utaelewa vizuri nalenga nini na wala silalamiki.
Ila nawashauri watu tu kuwa wakweli.
Thanks
Utapendeka tu dada,mbona wanaume wengi bana,hembu kwanza weka picha
Nanukuu alivyoniambia.
""Unasemaje nipo njiani nadrive naenda town"" ghafla namuona yupo kwenye daladala.
Kwa hiyo kuwa na uelewa huo.
Nashukuru kwani najua umenielewa
Utapendeka tu dada,mbona wanaume wengi bana,hembu kwanza weka picha
Mm ninayo na ningependa tuwe marafiki unasemaje kuhusu hili? ?
Wewe ni mwanamke? Manake utakuwa njugu in no time.
Halafu eksi kidumu wewe..nimekumisijeeee???hebu kuya kwa PM kwanza..
Miss u too bwana. Kwani umetekwa na alshabibby ama?
Aa..ni urafiki wetu umeisha kisa gari tihitihi..
Nlikuambia usinunue x6 ukatia kiherehere. Mie nilishakuambia siipendi ukanidharau. Ndo nimeshanuna mazima
I love you.:tonguez::tonguez:Babu goodafternoon
gari lake ratiba wataka upange weye,majangaa
I love you.:tonguez::tonguez: