Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!

Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!

lara 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
15,700
Reaction score
29,190
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!

Peopleeeeeeeeessssssssssss!!!!!!

Jamani ile tabia ya ubesteee na Mume/Mke wa mtu wa kukolea japo hamfanyi chochote jamii inauchukuliaj! Mfano wa company ya Bier, na mitoko maybe na stori stori za maisha!!!! Eti kama umeolewa afu mumeo ana rafiki rafiki mdada will it bother you?

For me sioni tatizo coz vita ushavishinda na ndani umewekwa, sasa kwanini usijiamini!? For me i have a friend this married guy tulikuwa tunafanya kaz wote zamani, he is super nice, sio mchoyo kabisaa, plus anaenjoy company yangu sanaaa! Hajawahi kuniomba kidude! Kjistukia tu na kumpotezea naona sio haki, sababu mtu hajanikosea chochote! hatujakwaruzana! Tena kila mda anamuongelea mkewe like its kitu cha kawaida!

Japo kuna wadu wananiponda sanaaaa! Sasa mi sioni kosa liko wapi? He is not cheatting on her!!!! Wala hajawahi kugusia hilo swala! Kwani a dude akioa ndo mwisho wa urafiki wake na wadada!???? Kosa lake labda kutoa offer za bier!

Eti wajameni hapo kuna utratra wowote ili nimpotezee huyu baba flani au it is okay kumchangamsha changamsha bab flani wa watu!
 
Namkumbuka Dr.Remmy,aliimba
::
Mke wa mtu usiseme nae,
Mke wa mtu usicheke nae,
Akikutongoza kamwambie mumewe!
Gharama alizopata haujui ndugu.
Mume wa mtu usimbebee koti,
Ukimbebea koti usitembee nae,
Mume wa mtu usimpakie wanja,
::
Kuwa makini,,ukaribu ukizidi unajiandalia kamba ya kujimaliza mwenyewe.
=
 
urafiki haukatazwi after ndoa lakini isiwe too much kila akitoka kazini ampitiea Lara wakapombeke daily mkewe analinda nyumba, hii hapana kwa kweli,jiangalie vizuri shost
 
Kwangu mimi hili halina jibu maalum!. wakati mwingine tunaangalia 'dhamira' ya wahusika na ukaribu uliopo!. Kama unaamini 'your conscience is clear' siioni tatizo kwa mume wa mtu kuwa na kampani na wadada as part of socialization. Swali linaweza kuwa wewe binafsi unachukuliaje kama ndiyo mumeo akikuambia kuwa alikuwa na mdada just for company....Ikumbukwe kwenye maisha mwingiliano wa ke na me ni mkubwa hususani makazini na hata kwenye biashara!..Tatizo linakuja pale ambapo the so called company inapoelekea kukiuka haki za msingi za mke/mume na kuanza kuleta maswali!..Otherwise, i see no offence!
 
heeee!!!! leo acha tu niwe mrengo wa kushoto kwakweli.....
urafiki na mupenzi hapana asee, labda kama nitakuwa part of that outings....
na penyewe ni labda.... yani naongea kwa herufi kubwa SITAKI!!!!!
 
heeee!!!! leo acha tu niwe mrengo wa kushoto kwakweli.....
urafiki na mupenza hapana asee, labda kama nitakuwa part of that outings....
na penyewe ni labda.... yani naongea kwa herufi kubwa SITAKI!!!!!

Evelyn vya watu lakini havina stress
 
heeee!!!! leo acha tu niwe mrengo wa kushoto kwakweli.....
urafiki na mupenzi hapana asee, labda kama nitakuwa part of that outings....
na penyewe ni labda.... yani naongea kwa herufi kubwa SITAKI!!!!!

USICHOTAKA NINI Haswaa labda? Kwani kuna baya gani mwenzio kakutendea? Hizo outings ni za kutoka job kungojea foleni, wewe kazini kwako kwingine kabisaaaa! muonee huruma mwana wa mwenzio anahitaji company!!!!!!!! LOLEST!!!!!!!!
 
Kwangu mimi hili halina jibu maalum!. wakati mwingine tunaangalia 'dhamira' ya wahusika na ukaribu uliopo!. Kama unaamini 'your conscience is clear' siioni tatizo kwa mume wa mtu kuwa na kampani na wadada as part of socialization. Swali linaweza kuwa wewe binafsi unachukuliaje kama ndiyo mumeo akikuambia kuwa alikuwa na mdada just for company....Ikumbukwe kwenye maisha mwingiliano wa ke na me ni mkubwa hususani makazini na hata kwenye biashara!..Tatizo linakuja pale ambapo the so called company inapoelekea kukiuka haki za msingi za mke/mume na kuanza kuleta maswali!..Otherwise, i see no offence!

Hahahaaaaaaaaaa! Umeonaaaa! NO OFFENCE KABISA!!!!!!!1 Basi tu watu kuwa na imani ndogo! Hakuna baya parsee linalotendeka!!!!!!!!! Ukiulizwa kinahokupa wasiwasi ni nini hakunaaaaaaaaa!
 
Namkumbuka Dr.Remmy,aliimba
::
Mke wa mtu usiseme nae,
Mke wa mtu usicheke nae,
Akikutongoza kamwambie mumewe!
Gharama alizopata haujui ndugu.
Mume wa mtu usimbebee koti,
Ukimbebea koti usitembee nae,
Mume wa mtu usimpakie wanja,
::
Kuwa makini,,ukaribu ukizidi unajiandalia kamba ya kujimaliza mwenyewe.
=

Haujzidi sasa bado!!!!!!!!
 
USICHOTAKA NINI Haswaa labda? Kwani kuna baya gani mwenzio kakutendea? Hizo outings ni za kutoka job kungojea foleni, wewe kazini kwako kwingine kabisaaaa! muonee huruma mwana wa mwenzio anahitaji company!!!!!!!! LOLEST!!!!!!!!

nisichotaka ni huo uclose na baby wangu!!!!
fine kama mnatoka ofisini wote, mpo njia moja lakini sijui ukakae nae hakuna hiyo wala haina why!!!!!
 
Unajua nini kuna vitu ni rahisi kuviandika lakini in real life inakuwa ngumu kuvifanya..mtaani kampani za changanyikeni nyingi tu na tunanunuliana fresh tu kama vikao vya kusubiri foleni na kujadili siasa...Bahati mbaya sana jamii yetu ya kitanzania imeendekeza sana ngono, ndio maana ukisema nina rafiki zangu wanawake ilhali wewe ni mwanaume lazima ilete maswali sana...Tutakapoanza kuzifikirisha akili zetu kwenye kina kinachopitiliza mahusiano ya kimwili utaona hili jambo linawezekana..Ni mtazamo tu nadhani ndo unaleta shida hapa!.....................

Hahahaaaaaaaaaa! Umeonaaaa! NO OFFENCE KABISA!!!!!!!1 Basi tu watu kuwa na imani ndogo! Hakuna baya parsee linalotendeka!!!!!!!!! Ukiulizwa kinahokupa wasiwasi ni nini hakunaaaaaaaaa!
 
Ukishaoa marafiki wa kike hawana mpango. Hata kama mlijuana tangu utotoni itabidi mkutane kwenye shughuli za public kama msiba, harusi, reunions etc..
Mambo ya kwenda bar na mume/mke wa mtu yatakuwa kwa kweli yamepinda.
 
Napita tu...mi mwanafunzi; suprise kuniambia humu JF kuna teacher wangu...asije nibamba
 
Back
Top Bottom