Urafiki hadi ndoa

Urafiki hadi ndoa

Joined
Jan 12, 2021
Posts
9
Reaction score
9
URAFIKI HADI NDOA

Vijana wengi wanaingia katika matatizo wakati wa ndoa zao kwa sababu wanasahau kiungo muhimu Cha ndoa.

Kiungo hiki ni urafiki, yaani kijana wa kiume au wa kike anatakiwa kumfanya rafiki Kwanza mtu yule ambaye anategemea kuwa mwenza wake.

Ili amjue tabia yake Kwanza ndipo achukue uamuzi wa kuweka wazi nia yake(hisia zake).

Jambo hili litawafanya wanandoa marafiki kujuana mapungufu yao. Hivyo ni chanzo Cha kuwa na ndoa yenye amani na furaha.

Kwa hiyo nawashauri vijana ambao hawajaoa wasiruke hatua hii kwani ni hatua nyeti Sana.
 
IMG-20210112-WA0067.jpg
 
Mkuu sisi ambao sifa kuu ya mke tunaangalia CHURA unatushaur vp
 
Tatizo ni kwamba asilimia kubwa ya Wanaume huwa wanaangalia mtizamo wa nje, wanataka Mwanamke mwenye Chura, miguu mizuri n.k, na baadhi ya Wanawake wanaangalia uwezo wa Mwanaume kiuchumi n.k. kwahiyo muda wa kumsoma mtu tabia hakuna wote wapo kimaslahi.
 
URAFIKI HADI NDOA

Vijana wengi wanaingia katika matatizo wakati wa ndoa zao kwa sababu wanasahau kiungo muhimu Cha ndoa.

Kiungo hiki ni urafiki, yaani kijana wa kiume au wa kike anatakiwa kumfanya rafiki Kwanza mtu yule ambaye anategemea kuwa mwenza wake.

Ili amjue tabia yake Kwanza ndipo achukue uamuzi wa kuweka wazi nia yake(hisia zake).

Jambo hili litawafanya wanandoa marafiki kujuana mapungufu yao. Hivyo ni chanzo Cha kuwa na ndoa yenye amani na furaha.

Kwa hiyo nawashauri vijana ambao hawajaoa wasiruke hatua hii kwani ni hatua nyeti Sana.
We umeoa?
 
Despite everything siku mkianza kuishi pamoja ndo mtajuana vizuri. Nyanduaneni miaka kumi, sawa but siku mkiishi pamoja under the same roof ndo mtajuana vizuri.

Friendship is important but it is important to know that nothing remains the same so msibaki washkaji muda mrefu bila ndoa..... Ile ladha ya ndoa itachakachuliwa na mazoea.
 
URAFIKI HADI NDOA

Vijana wengi wanaingia katika matatizo wakati wa ndoa zao kwa sababu wanasahau kiungo muhimu Cha ndoa.

Kiungo hiki ni urafiki, yaani kijana wa kiume au wa kike anatakiwa kumfanya rafiki Kwanza mtu yule ambaye anategemea kuwa mwenza wake.

Ili amjue tabia yake Kwanza ndipo achukue uamuzi wa kuweka wazi nia yake(hisia zake).

Jambo hili litawafanya wanandoa marafiki kujuana mapungufu yao. Hivyo ni chanzo Cha kuwa na ndoa yenye amani na furaha.

Kwa hiyo nawashauri vijana ambao hawajaoa wasiruke hatua hii kwani ni hatua nyeti Sana.
Huo urafiki unakaa mda gani sas ndo umwambie unampenda au ukishakua marafiki upendo unakuj automatic?
 
Back
Top Bottom