Upweke unanitesa sio kawaida jamani

kiufupi nina mwonekano wa mtu mwenye pesa mabinti wengi wanakutaga tofauti na kupelekea mahusiano kuwa na kashikash nyingi nimebarikiwa utoaji sana ila sina vingi kama mtazamo wa walio wengi

Okay nicheki dm tuyajenge
 

Wewe hat shule hujamaliza unaanza kulalamika mambo ya upweke, ebu Rudi darasani kasome huko usituletee uchuro mi nilijua una miaka 40
 
tumeumbwa tofauti ndo maana hata shuleni wakati mwingine analia na hesabu mwingine analia na kiswahili
 
Achana nao fanya issue zingine
 
Wewe hat shule hujamaliza unaanza kulalamika mambo ya upweke, ebu Rudi darasani kasome huko usituletee uchuro mi nilijua una miaka 40

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Omba ushauri wowote jf HUWEZI kosa majibu.

Naona professional psychologist na watu wa relationship wapo kazini. [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…