Upweke unanitesa sio kawaida jamani

Ushasema story ilkufanya kua muoga kuingia kwnye mahusiano
Sasa unatafuta binti akutoe upweke ili muingie kwenye biashara au?
kiufupi nina mwonekano wa mtu mwenye pesa mabinti wengi wanakutaga tofauti na kupelekea mahusiano kuwa na kashikash nyingi nimebarikiwa utoaji sana ila sina vingi kama mtazamo wa walio wengi
 
bora itanikeep busy
 
Wanaume wengine mna matatizo Sana , Facebook, Instagram,mitaani kila Kona ya jiji wanawake ni wengi sna inafikia hatua mpaka wengine tunawakimbia alafu bado Kuna wtu kma nyie mnaangaika iv .....utakuwa haujiamini aisee na Hilo Ni tatizo Sana kutokujiamini kwako siku nyingine utakuja kuweka uzi hpa kuwa una upungufu wa nguvu za kiume
 
Ni vizuri ukaweka wazi kilichokusibu hadi kuwa muoga ili upate kusaidiwa zaidi.
 
Ni vizuri ukaweka wazi kilichokusibu hadi kuwa muoga ili upate kusaidiwa zaidi.
 
Hapo kwenye kupata mpenzi wa kukuliwaza ndio stress zilipo sasa. Kama unabisha, ngoja umpate ndio utaelewa [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Lazima utakuwa unaoga kwakutumia Geisha wewe (utani)........mkuu kuna Kanisani, Msikitini, Classmates,college mates, stiliti kwako, kijijini kwako,workmates,wapangajimates etc.......daah huko Kote umekosa mkuu
 
kiufupi nina mwonekano wa mtu mwenye pesa mabinti wengi wanakutaga tofauti na kupelekea mahusiano kuwa na kashikash nyingi nimebarikiwa utoaji sana ila sina vingi kama mtazamo wa walio wengi
Tabia yako mwanzoni mwa mahusiano ndo kinachokuponza jaribu kwenda nao polepole mkuu
Jaribu kua tofauti na huo muonekano wa kua na pesa lazma utaona mabadiliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…