Upweke unanisumbua

Upweke unanisumbua

100% chanzo ni mahusiano...
Anyways, pole sana....
Anza kujichanganya na watu tofauti na ulio wazoea kila siku.
Anza kujitoa out na kwenda beach ikibidi.
Jiepushe kabisa na unywaji wa pombe katika kipindi hiki.
Jifunze kuanza kuwahi kurudi nyumbani na pika chakula kizuri unacho kipenda.
Pendelea kunywa juice ya machungwa kwa wingi.
Zima sim kabisa inapo fika muda wa kulala.
Pelndela kuangalia movie za simulizi mbalimbali.
Soma vitabu na kadhalika nakadhalika.
Usijaribu kuingia kwenye mahusiano mapya hadi ukae sawa kabisa.
Siku hizi una busara 🤣
 
Nini shida nikuletee matunda
Kwenye harakati tulikula mzinga wa haja na wenzangu wawili waka fariki dunia.
Mungu aliniokoa ingawa nilipoteza faham kwa masaa kadhaa, lakini matokeo ya pale nilipata fracture kwenye mguu na mfupa wa bega ulivunjika na kutoka eneo lake mnaita "clavicle"
Nilipata matibabu kwenye hospital moja ya rufaa yenye bingwa wa mifupa, kwasasa natumia "figure of 8 bandage" pia "hand sling bandage".
I'm doing good mkuu na asante kwa kujali pia...🙏
 
Back
Top Bottom