Dada shikamoo. Umeshapata Mme tayari lakini. Kuna baba Yangu mdogo aligombana na Mke wake wakaachana. Kimila za kwetu mwanamke akikupiga hautakiwi uishi naye tena ni laana kubwa matambiko so ninapenda uwe mamdogoAmani kwenu wakuu, upweke umenikalia kooni naona siwezi kustahimili tena, upweke ni mbaya saaaana haungalii umesoma, una pesa au hauna, umeumbika kama zebra au vinginevyo, upweke unaumizaaaa.
Mimi ni mwanamke 40yrs nahitaji mwanaume ambaye nae ana uhitaji kama wangu ila awe mkristo. Usaili mwingine tutafanyiana PM.
Wahenga karibuni only kwa walio serious tafadhali. Asante
Akikua atayaona.
dahJe kiben20?
Mcheki humphrey polepoleAmani kwenu wakuu, upweke umenikalia kooni naona siwezi kustahimili tena, upweke ni mbaya saaaana haungalii umesoma, una pesa au hauna, umeumbika kama zebra au vinginevyo, upweke unaumizaaaa.
Mimi ni mwanamke 40yrs nahitaji mwanaume ambaye nae ana uhitaji kama wangu ila awe mkristo. Usaili mwingine tutafanyiana PM.
Wahenga karibuni only kwa walio serious tafadhali. Asante
Miaka 40, mwanaume wa nini?!Amani kwenu wakuu, upweke umenikalia kooni naona siwezi kustahimili tena, upweke ni mbaya saaaana haungalii umesoma, una pesa au hauna, umeumbika kama zebra au vinginevyo, upweke unaumizaaaa.
Mimi ni mwanamke 40yrs nahitaji mwanaume ambaye nae ana uhitaji kama wangu ila awe mkristo. Usaili mwingine tutafanyiana PM.
Wahenga karibuni only kwa walio serious tafadhali. Asante
Nipo serious ujue
Ila wanawake huwa mnatuona sisi kama makatuni vile, yaani mnatufanyia USAILI kabisa. Mnatukosea sana Adabu.
Kwani umeona kazeeka hapo ndio penyewe sasa nakwanza umri huo ndio anajua Nini maana yamaishaMiaka 40, mwanaume wa nini?!
Soma post yangu 141 hapo juu.
Vp mimi... Natafuta mke.. Nina watoto 4...je nije PM... Tuongee.. Umri wangu ni huo huo.... 43
Sio wote walikuwa wanawakaushia wana mtaa! wengine waliachika na kufiwa pia!! acha kuhukumu!! Mshukuru Munugu kama wewe uko kwenye ndoa imara mpaka Sasa!!..............Ulipokuwa kwenye 20's aah utasema hutazeeka ulivyokuwa unawakaushia wana mtaani sasa upo hapa unahangaika kuwatafuta wakati wao saizi wanawaza kusomesha watoto wewe unataka muanze maisha,labda ukutane na aliyepata bahati mbaya akampoteza mkewe..
Nia siyo kukukwaza ila nataka kuwaambia wadogo zako watakaopita kwenye huu uzi wako waangalie sana hatua zao kuna umri sahihi wa kutafuta mwenza waujue mapema wasije kuishia kama hii wewe.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mambo?,kama upo serious kweli naomba tuonane au nitumie number tuongee nina miaka 48 sina mke ila nina watoto 2Soma post yangu 141 hapo juu.