Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,551
- 860,696
Umasikini ni kitu kibaya mno, kibaya mno! Iandikie mada yake, utaona tutakavyofunguka kama kama ile ya juzi. Kukosa pesa, kukosa kipato, kuwa na kipato duni ni janga kubwa kuliko lolote, ndio maana dunia na hasa Afrika kumekuwa dampo...Sahihi pia
Jr[emoji769]
Ngoja nikusanye dondoooUmasikini ni kitu kibaya mno, kibaya mno! Iandikie mada yake, utaona tutakavyofunguka kama kama ile ya juzi. Kukosa pesa, kukosa kipato, kuwa na kipato duni ni janga kubwa kuliko lolote, ndio maana dunia na hasa Afrika kumekuwa dampo...