ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Wakuu napata tabu sana kwenye uchaguzi wa madirisha mazuri kwa ajili ya ujenzi wa makazi yangu,
Naombeni uchambuzi wa kitaalamu ni nini tofauti ya haya madirisha?? Je na kwa bei ipi ni bei zaidi ya
Nyenzake? Vipi kwenye ubora? Etc etc sehemu gani ni the best na affordable kupata hizi bidhaa...?
JF is the home for great thinkers i believe i'll get all the answers here.
Welcome!!
Naombeni uchambuzi wa kitaalamu ni nini tofauti ya haya madirisha?? Je na kwa bei ipi ni bei zaidi ya
Nyenzake? Vipi kwenye ubora? Etc etc sehemu gani ni the best na affordable kupata hizi bidhaa...?
JF is the home for great thinkers i believe i'll get all the answers here.
Welcome!!