Upuuzi huu wa Startimes havumiliki

Upuuzi huu wa Startimes havumiliki

Le ngosha

Senior Member
Joined
Aug 1, 2018
Posts
107
Reaction score
104
Habari wana jamvi?kwa zaidi ya mwaka na nusu nmekua mteja wa kampuni hii ya ving'amuzi.
Wakati naanza kutumia huduma zao niliipenda huduma yao ila kadri siku zinavyosonga ndivyo nimegundua kua kampuni hii ni ya kihuni na haina ubunifu wowote kibiashara ambao unaweza kumvutia mteja kuendelea kutumia huduma zao au kuhamia kutoka kampuni nyingine za ving'amuzi,kwa muda ambao nmekua mteja wao nimegundua yafuatayo;
Mosi,kushindwa kuweka channel za ndani za kutosha
kama ZBC,TVE,DTV nk..
Pili, kuendelea kutoza channel za ndani (Fta) ambazo kwa mujibu wa TCRA zinapaswa kutazamwa bure....
Tatu,kuondoa baadhi ya channel muda wowote wanapojisikia kv TV 1
Nne,kutokupatikana kwa baadhi ya channel za ndani hata ukilipia.
Niwaombe tcra kuwashukia hawa watu ili waache upuuzi na jeuri ambao wanatufanyia wateja wao.....
 
Habari wana jamvi?kwa zaidi ya mwaka na nusu nmekua mteja wa kampuni hii ya ving'amuzi.
Wakati naanza kutumia huduma zao niliipenda huduma yao ila kadri siku zinavyosonga ndivyo nimegundua kua kampuni hii ni ya kihuni na haina ubunifu wowote kibiashara ambao unaweza kumvutia mteja kuendelea kutumia huduma zao au kuhamia kutoka kampuni nyingine za ving'amuzi,kwa muda ambao nmekua mteja wao nimegundua yafuatayo;
Mosi,kushindwa kuweka channel za ndani za kutosha
kama ZBC,TVE,DTV nk..
Pili, kuendelea kutoza channel za ndani (Fta) ambazo kwa mujibu wa TCRA zinapaswa kutazamwa bure....
Tatu,kuondoa baadhi ya channel muda wowote wanapojisikia kv TV 1
Nne,kutokupatikana kwa baadhi ya channel za ndani hata ukilipia.
Niwaombe tcra kuwashukia hawa watu ili waache upuuzi na jeuri ambao wanatufanyia wateja wao.....
Nunua king'amuzi kingine tuu kuachana na matatizo mkuu
 
Mbona Kwangu kiko poa sana yaani nikilipa haziishi dk 2 washafungua channel

wapo ndo The Best in Tanzania
 
Mbona Kwangu kiko poa sana yaani nikilipa haziishi dk 2 washafungua channel

wapo ndo The Best in Tanzania
Mkuu kufungua baada ya kulipia hawana shida.

Lakini je wajuwa kwamba kulipia kisimbusi cha Star times ambao wapo kwenye FTA ni kuibiwa?

Je umejenga hoja ama kufikiria kudai haki zako ulizodhulumiwa kwa kulipia isivyo stahili hicho kisimbusi tangia ukinunue?

Halafu kutoonesha chaneli zingine za ndani kama alivyozitaja mtoa mada, ni uharamia wa taifa na viongozi wanaoendelea kufumbia uozo huo wananuka harufu ya uhujumu uchumi?

Kuna baadhi ya haki za raia ambazo hatuzijui!

Sasa tunapofumbuliwa macho, aidha tunaanza kubishi kwamba hizo si haki zetu ama kujikejeli wenyewe
kwamba vya "bure gharama"!

Mtu unaanza kujiuliza, hawa watu ni raia wa namna gani wasiopenda kuhoji haki zao?

Ama ni kampeni za mafisadi kuvuruga mada za raia za kufumbuana macho!

Hivi kuna watu na akili zao, wapo ambao hawaelewi kwamba kuna huduma zinazomstahili raia kuzipata bure kutokana na ulipa kodi wake na kuna huduma za kugharamia?
 
Mkuu kufungua baada ya kulipia hawana shida.

Lakini je wajuwa kwamba kulipia kisimbusi cha Star times ambao wapo kwenye FTA ni kuibiwa?

Je umejenga hoja ama kufikiria kudai haki zako ulizodhulumiwa kwa kulipia isivyo stahili hicho kisimbusi tangia ukinunue?

Halafu kutoonesha chaneli zingine za ndani kama alivyozitaja mtoa mada, ni uharamia wa taifa na viongozi wanaoendelea kufumbia uozo huo wananuka harufu ya uhujumu uchumi?

Kuna baadhi ya haki za raia ambazo hatuzijui!

Sasa tunapofumbuliwa macho, aidha tunaanza kubishi kwamba hizo si haki zetu ama kujikejeli wenyewe
kwamba vya "bure gharama"!

Mtu unaanza kujiuliza, hawa watu ni raia wa namna gani wasiopenda kuhoji haki zao?

Ama ni kampeni za mafisadi kuvuruga mada za raia za kufumbuana macho!

Hivi kuna watu na akili zao, wapo ambao hawaelewi kwamba kuna huduma zinazomstahili raia kuzipata bure kutokana na ulipa kodi wake na kuna huduma za kugharamia?
Mkuu kuna watu humu ukilalamika wanakwambia unapenda vya bure vizazi vya .com hawajui haki zao
 
Habari wana jamvi?kwa zaidi ya mwaka na nusu nmekua mteja wa kampuni hii ya ving'amuzi.
Wakati naanza kutumia huduma zao niliipenda huduma yao ila kadri siku zinavyosonga ndivyo nimegundua kua kampuni hii ni ya kihuni na haina ubunifu wowote kibiashara ambao unaweza kumvutia mteja kuendelea kutumia huduma zao au kuhamia kutoka kampuni nyingine za ving'amuzi,kwa muda ambao nmekua mteja wao nimegundua yafuatayo;
Mosi,kushindwa kuweka channel za ndani za kutosha
kama ZBC,TVE,DTV nk..
Pili, kuendelea kutoza channel za ndani (Fta) ambazo kwa mujibu wa TCRA zinapaswa kutazamwa bure....
Tatu,kuondoa baadhi ya channel muda wowote wanapojisikia kv TV 1
Nne,kutokupatikana kwa baadhi ya channel za ndani hata ukilipia.
Niwaombe tcra kuwashukia hawa watu ili waache upuuzi na jeuri ambao wanatufanyia wateja wao.....
Mimi ninacho cha StarTimes, ila vile visimbuzi vilivyotoka mwanzo kabisa (vikubwa kuliko vingine) hakina matatizo kabisa napata local channel zote na na sijakilipia kwa muda mrefu sana (nadhani ni zaidi ya mwaka). Ila kama ulinunua baada ya hivyo lazima ulalamike...
 
Hata hili la Local Channels kuonyeshwa bure kwenye TV zetu limewashinda TCRA hadi labda Magufuli aingilie kati kutoa agizo?
 
Habari wana jamvi?kwa zaidi ya mwaka na nusu nmekua mteja wa kampuni hii ya ving'amuzi.
Wakati naanza kutumia huduma zao niliipenda huduma yao ila kadri siku zinavyosonga ndivyo nimegundua kua kampuni hii ni ya kihuni na haina ubunifu wowote kibiashara ambao unaweza kumvutia mteja kuendelea kutumia huduma zao au kuhamia kutoka kampuni nyingine za ving'amuzi,kwa muda ambao nmekua mteja wao nimegundua yafuatayo;
Mosi,kushindwa kuweka channel za ndani za kutosha
kama ZBC,TVE,DTV nk..
Pili, kuendelea kutoza channel za ndani (Fta) ambazo kwa mujibu wa TCRA zinapaswa kutazamwa bure....
Tatu,kuondoa baadhi ya channel muda wowote wanapojisikia kv TV 1
Nne,kutokupatikana kwa baadhi ya channel za ndani hata ukilipia.
Niwaombe tcra kuwashukia hawa watu ili waache upuuzi na jeuri ambao wanatufanyia wateja wao.....
Tv1 kitambo sana na chanel 367, ilikuwa kama ya rwanda hivi ya nyimbo za kwaya tu waliifutilia mbali
 
Natamani kuvunja lkn hasila hasala Natafuta mteja wa HII TAKATAKA STARTIME
 
Hivi mbona kwenye orodha iliyo kwenye tangazo lililotolewa na TCRA lililowataka wateja waliokuwa wakilipishwa zile FTA channels na wenye ving'amuzi vya DSTV, AZAM na ZUKU wajiorodheshe ili wafidiwe hao jamaa wa Star times hawakuwemo? Maana utashangaa kuona kwamba waliokuwa wanawapa wateja zadi ya kile walicholipia na kustahili kupewa wao ndiyo wanaobanwa zaidi wakati wao Star Times waliopaswa kuzitoa bure ndiyo kimsingi waliokuwa wakiwaibia wateja kwa kuwakatia channels zote package ikiisha. Mfano tangu DSTV waondoe hizo FTA channels bei ya package siyo kwamba imepungua na hii pengine ni kwa sababu bei zilizopo zipo hivyo kwa ajili ya channels zilizobaki kwa sasa na kwamba zilizoondolewa ilikuwa ni kama bonus tu kwa wateja.
 
Back
Top Bottom