useyourcommonsensetothink
Member
- Nov 5, 2025
- 82
- 135
Tume imeundwa kama kisingizio tu. Inapewa maagizo ya nini cha kufanya, jinsi ya kufanya, na kwa namna gani, kisha kuripoti mahali fulani na kupokelewa kwa njia fulani, halafu bado inaitwa Tume Huru?
Vijana wa kitanzania ni mazombi hawawezi fikiri na kujiendesha, wanasubiri walipwe ili kudai haki zao, seriously?
Vijana, Bi Mkubwa anasema, hamuwezi jiendesha, nyie ni chawa tu, hamna ubavu wa kufanya lolete bila watu fulani kuwashika masikio yenu kwa pesa.
Bi mkumbwa anaamini vijana wake hawawezi kitu, wanachoweza ni uchawa tu. Hawana uwezo wa kufikiri mambo ya msingi katika taifa lao.
"Nendeni mkatafute vijana wanataka nini".....what the hell is going on with this human being? Is your f*k*ng head okay, madam?
Upuuzi huu utaisha lini?. Kila ninapoamka, roho yangu inaumia sana, nchi yetu ipo mikoni mwa watu ambao ni extremely incompetent haijawai tokea.
Leo unamka na kauli za ajabu za semaji, kesho kwa polisi, kesho kutwa Waziri, daa, Bi Mkubwa ndo funga kazi
Vijana wa kitanzania ni mazombi hawawezi fikiri na kujiendesha, wanasubiri walipwe ili kudai haki zao, seriously?
Vijana, Bi Mkubwa anasema, hamuwezi jiendesha, nyie ni chawa tu, hamna ubavu wa kufanya lolete bila watu fulani kuwashika masikio yenu kwa pesa.
Bi mkumbwa anaamini vijana wake hawawezi kitu, wanachoweza ni uchawa tu. Hawana uwezo wa kufikiri mambo ya msingi katika taifa lao.
"Nendeni mkatafute vijana wanataka nini".....what the hell is going on with this human being? Is your f*k*ng head okay, madam?
Upuuzi huu utaisha lini?. Kila ninapoamka, roho yangu inaumia sana, nchi yetu ipo mikoni mwa watu ambao ni extremely incompetent haijawai tokea.
Leo unamka na kauli za ajabu za semaji, kesho kwa polisi, kesho kutwa Waziri, daa, Bi Mkubwa ndo funga kazi