Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Nimekuwa nikiweka mafuta mara nyingi sana kwenye hiko kituo cha mafuta kilichopo njia ya Kutoka Mbezi kuelekea Goba, kwa kipindi cha nyuma sikuwahi kuona tatizo.
Kama wiki 2 zimepita niliweka mafuta asubuhi ya sh 10,000/- ambayo kwa kawaida ninaendesha kama 50 km kama hakuna foleni, bahati mbaya sana gari ilizima baada ya kama km 29. Nikajua labda hesabu zangu siyo.
Leo nikaenda tena nikamwambia jamaa kuhusu hilo swala, akaniuliza tu kama dashboard yangu inasoma vizuri nikamwambia ndiyo, nikaweka tena sh 10,000/- story ikawa ile ile.
Inaweza kuwa tatizo ni gari langu lakini ningependa kutoa angalizo kwa watumiaji wengine wa hiyo center wawe makini. Cha kushangaza nikiweka mafuta vituo vingine hili tatizo sikutani nalo.
Kama wiki 2 zimepita niliweka mafuta asubuhi ya sh 10,000/- ambayo kwa kawaida ninaendesha kama 50 km kama hakuna foleni, bahati mbaya sana gari ilizima baada ya kama km 29. Nikajua labda hesabu zangu siyo.
Leo nikaenda tena nikamwambia jamaa kuhusu hilo swala, akaniuliza tu kama dashboard yangu inasoma vizuri nikamwambia ndiyo, nikaweka tena sh 10,000/- story ikawa ile ile.
Inaweza kuwa tatizo ni gari langu lakini ningependa kutoa angalizo kwa watumiaji wengine wa hiyo center wawe makini. Cha kushangaza nikiweka mafuta vituo vingine hili tatizo sikutani nalo.