mudushi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 151
- 84
Matapeli wameshatugundua waswahili kwamba tunapenda na kuendekeza sana NGONO. Ndiyo maana kila kukicha wanaleta sokoni dawa yenye maelezo lukuki tena basi yanayolenga maeneo yaleyale tunayoyapenda.
Kwa ufupi ni kwamba hakuna njia ya uhakika ya kupata nguvu NZURI za kiume zaidi ya kuwa na afya njema inayotokana na ulaji mzuri wa chakula na ufanyaji mazoezi ya viungo, full stop. Njia zingine ni batili na in fact, zinaendeleza uharibifu wa afya ya mwanaume na hupunguza maisha including kupata ukimwi.
biashara tu. nimeikamua lakini haina chochote. hakuna jipya