bado kuna maswali najiuliza kutokana na mkasa huu au hadithi hii
1:Maria alimpenda sana huyu kijana na hata kutamka kua NDIYE MWANAUME WA MAISHA YAKE je wangeishije milele ikiwa anajijua ni HIV carrier?
2:Kwa nini Maria aliumia sana aliposikia kua jamaa kamgegeda Fatuma ili hali yeye hakua tayari kumtuliza kipenz chake?
Mwandishi na wengineo mngenisaidia haya maswali nadhani mkasa huu utaleta uhalisia zaidi kuliko kubaki kua mkasa wa kufikirika
Kaitoa tbc fm
Kwani TBC fm ni chombo cha peponi? hata wewe ukiipenda ipeleke fesibuku!