lacuna
JF-Expert Member
- Aug 19, 2015
- 654
- 168
UPUMBAVU NA ULOFA WA LOWASA, SUMAYE NA CHADEMA:
Hv majuzi Mh. Mkapa ametoa kauli " ALIEHAMIA UKAWA NI MPUMBAVU NA LOFA" nini maana yake mzee huyu?
✳SUMAYE✳ Mzee huyu upumbavu na ulofa wake umetokana na kauli yake aliposema kuwa "Endapo CCM itampitisha Lowasa kugombea Urais mimi nitahama chama"mwisho wakunukuu. ..
Mzee huyu aliiongea kauli hii kwakua alijua kuwa Lowasa sio msafi ana makandokando mengi na nifisadi la kimataifa na alijiapiza kuhama chama sasa ajabu baada ya yeye kutopitishwa jina lake CCM amehama chama na kumfuata yuleyule aliyesema akichaguliwa anahama chama Hv huu sio Ulofa na upumbavu? Amekwenda Chadema na kuamua kumnadi Lowasa huu ni ulofa wa hali yajuu sana hata kama hamtaki ila ukweli ndio huo. .
✳LOWASA✳ Huyu kweli ni mpumbavu na Lofa tu maana hainiingii akilini chama cha CHADEMA walizunguuka nchi nzima toka 2008 wakimhubiri Lowasa kuwa ni Mwizi na Fisadi, mtaani na ndani ya Bunge yeye mwenyewe akiwa anasikia live vijana wa CHADEMA Mnyika, Lisu, Lema, Msigwa, Slaaa n. k wote hao walimsema wanavyojiskia kwa njia zote fb, Magazetini, TV zote walimhubiri vibaya lakini cha ajabu ameenda hukohuko kugombea Urais amesahau yote waliyomsema na kumtukana Hv huu si ulofa na upumbavu aliousema Mkapa? hata ukatae nayeye lofa tu kwa hali hii na ni mpumbavu vilevile. ..
✳CHADEMA✳ Hawa ndio vituko yaani ni malofa na niwapumbavu tena mamburula nawezakuongezea Mandoroboooo kweli kweli. Hv unawezaje kumtukana mtu kuwa fisadi na mchafu mwizi asiyefaa wakasema hafai kuwa Rais wakenda mbali kuwa anayemshabikia Lowasa akapimwe akili😂😂😂😂😂😂hapa tusemeje sasa? Sio Malofa hawa? kumchukua Lowasa kuwa mgombea wao sasa wanaanza kumsafisha jamani huu si upumbavu? Ila sishangai maana wamekutana wote malofa na wapumbavu tu. Aliyetukana na aliyetukanwa wote akili zao sawa tu. ..
Ogopa watu hao usiwape kura yako ya NDIYO Ipeleke kwa Magufuli
Hv majuzi Mh. Mkapa ametoa kauli " ALIEHAMIA UKAWA NI MPUMBAVU NA LOFA" nini maana yake mzee huyu?
✳SUMAYE✳ Mzee huyu upumbavu na ulofa wake umetokana na kauli yake aliposema kuwa "Endapo CCM itampitisha Lowasa kugombea Urais mimi nitahama chama"mwisho wakunukuu. ..
Mzee huyu aliiongea kauli hii kwakua alijua kuwa Lowasa sio msafi ana makandokando mengi na nifisadi la kimataifa na alijiapiza kuhama chama sasa ajabu baada ya yeye kutopitishwa jina lake CCM amehama chama na kumfuata yuleyule aliyesema akichaguliwa anahama chama Hv huu sio Ulofa na upumbavu? Amekwenda Chadema na kuamua kumnadi Lowasa huu ni ulofa wa hali yajuu sana hata kama hamtaki ila ukweli ndio huo. .
✳LOWASA✳ Huyu kweli ni mpumbavu na Lofa tu maana hainiingii akilini chama cha CHADEMA walizunguuka nchi nzima toka 2008 wakimhubiri Lowasa kuwa ni Mwizi na Fisadi, mtaani na ndani ya Bunge yeye mwenyewe akiwa anasikia live vijana wa CHADEMA Mnyika, Lisu, Lema, Msigwa, Slaaa n. k wote hao walimsema wanavyojiskia kwa njia zote fb, Magazetini, TV zote walimhubiri vibaya lakini cha ajabu ameenda hukohuko kugombea Urais amesahau yote waliyomsema na kumtukana Hv huu si ulofa na upumbavu aliousema Mkapa? hata ukatae nayeye lofa tu kwa hali hii na ni mpumbavu vilevile. ..
✳CHADEMA✳ Hawa ndio vituko yaani ni malofa na niwapumbavu tena mamburula nawezakuongezea Mandoroboooo kweli kweli. Hv unawezaje kumtukana mtu kuwa fisadi na mchafu mwizi asiyefaa wakasema hafai kuwa Rais wakenda mbali kuwa anayemshabikia Lowasa akapimwe akili😂😂😂😂😂😂hapa tusemeje sasa? Sio Malofa hawa? kumchukua Lowasa kuwa mgombea wao sasa wanaanza kumsafisha jamani huu si upumbavu? Ila sishangai maana wamekutana wote malofa na wapumbavu tu. Aliyetukana na aliyetukanwa wote akili zao sawa tu. ..
Ogopa watu hao usiwape kura yako ya NDIYO Ipeleke kwa Magufuli