Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
62,246
72,497
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

hiyo ni wish tu. Kimsingi na kwa uhalisia bajeti yetu kwa vyanzo tulivyo navyo kwa sasa haitakiwili izdi Tri. 25. Huko kwingine kote ni siasa za kupata kura maana hata bajeti zilizopita hatujawahi kuvuka nusu ya bajeti ktk makusanyo.
 
hiyo ni wish tu. Kimsingi na kwa uhalisia bajeti yetu kwa vyanzo tulivyo navyo kwa sasa haitakiwili izdi Tri. 25. Huko kwingine kote ni siasa za kupata kura maana hata bajeti zilizopita hatujawahi kuvuka nusu ya bajeti ktk makusanyo.
According to your wishes. Ungekuwa unajua dy/dx usingeandika hivyo. Mwigulu ni mchumi nguli mpaka maprof wa uchumi wanamuogopa. Si unaona tangu ateuliwe kuwa waziri wa uchumi mpaka lipumba kaufyata
 
hiyo ni wish tu. Kimsingi na kwa uhalisia bajeti yetu kwa vyanzo tulivyo navyo kwa sasa haitakiwili izdi Tri. 25. Huko kwingine kote ni siasa za kupata kura maana hata bajeti zilizopita hatujawahi kuvuka nusu ya bajeti ktk makusanyo.
Wish ya nini? Stay tuned June 2025 nikuoneshe utekelezaji wa Bajeti ya Sasa ambayo ilikuwa ni 49.3Trilion harafu Utajua ni wish au sio wish.
 
According to your wishes. Ungekuwa unajua dy/dx usingeandika hivyo. Mwigulu ni mchumi nguli mpaka maprof wa uchumi wanamuogopa. Si unaona tangu ateuliwe kuwa waziri wa uchumi mpaka lipumba kaufyata
Nyumbu hao hakuna wanachoelewa kuhusu mipango ya serikali Wala namna ya ufanyaji kazi wake si ajabu Huwa Wana commentyviti vya ajabu ajabu Hadi unaniuliza walienda shule au wanashinda kwenye porno?
 
Halmashauri kukusanya kiasi pangwa huwa ni mtihani sanaaaa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kila mwaka wanavusha malengo mbona👇👇
juma_zuberi_homera_1720609958796204.jpg


TRA ndio Huwa hawafikishi ,wanaishi kwenye 97-98%
 
Sio wote na maafisa mipango wengi hukadiria chini ili kufikisha malengo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sio wote lakini wengi na wengi wakivusha malengo inawabeba wale wengine.

Sio tuu kukadiria chini Bali Rasilimali watu na vitendea kazi ya kwenda kukusanya Mapato.

Mfano Kwenye Halmashauri nayoishi Mimi Wizara ya mifugo Ina posi machine 1 tuu ya kulipia kiasi kwambawafanyabiashara hawana ujinga wa kupanga foleni kumshbiria mtoa risiti 1,wanawahonga Maofisa 20,000 wanaondoka na mifugo au wanatumia risiti za zamani.
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8

Hayo madeni unadhani wakuyapunguza ni wanaopanga au wanaopangiwa
 
Kwaiyo mwaka wa bajeti mpya ukifika pesa zilizo baki kwenye bajeti ilio pita zina pigwa juu kwa juu si ndio
 
Sio wote lakini wengi na wengi wakivusha malengo inawabeba wale wengine.

Sio tuu kukadiria chini Bali Rasilimali watu na vitendea kazi ya kwenda kukusanya Mapato.

Mfano Kwenye Halmashauri nayoishi Mimi Wizara ya mifugo Ina posi machine 1 tuu ya kulipia kiasi kwambawafanyabiashara hawana ujinga wa kupanga foleni kumshbiria mtoa risiti 1,wanawahonga Maofisa 20,000 wanaondoka na mifugo au wanatumia risiti za zamani.
Moja wapo ya factor ya kuwa CCM ni kuwa MWIZI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom