Habari wana jamii forum naitwa Gilbert Zenas Rauya tafadhali nimepotelewa na vyeti vyangu original vya taauluma kwenye bus la Kimotco mnamo tarehe 29-11-2021 lilikua linatoka Moshi kwenda Mbeya bag langu liliibiwa halikuonekana kabisa na lilikua na vitu vinginevyo kama External harddisk GB500 flushdisk 2 na nguo chache pamoja na ivyo vyeti ni kama ifuatavyo.
cheti cha Form 4,Cheti cha certificate in IT na Transcript yake,Cheti cha Diploma in Computing in IT na Transcript yake vyote vya University of DSM Computing Center na cheti cha Degree Bachelor of Science in Infomartion Communication Technology na Transcript yake chuo ni University of Bagamoyo na Cheti cha kuzaliwa na vyeti vingine vya computer short courses mbali mbali na short course ya Enterpreneurship Management kwa yeyote atakayevipata hivyo vyeti naomba anicheki kupitia mawasiliano hayo hapo
0713990926 or 0784896322 na email yangu ni gillizain@yahoo.com
cheti cha Form 4,Cheti cha certificate in IT na Transcript yake,Cheti cha Diploma in Computing in IT na Transcript yake vyote vya University of DSM Computing Center na cheti cha Degree Bachelor of Science in Infomartion Communication Technology na Transcript yake chuo ni University of Bagamoyo na Cheti cha kuzaliwa na vyeti vingine vya computer short courses mbali mbali na short course ya Enterpreneurship Management kwa yeyote atakayevipata hivyo vyeti naomba anicheki kupitia mawasiliano hayo hapo
0713990926 or 0784896322 na email yangu ni gillizain@yahoo.com