Upole!!


Hapo kwenye red, kuna wanawake wengine ukiwapa live how they look, they don't like it. Imagine umespend one hour kwenye kioo ukiremba lips zako, halafu unakuja na kuniambia "how does my lips look?" halafu nikujibu not good. Speed utakayoondoka nayo hapo sijui. Lakini wako wengine ambao ni understandable. Kuna mmoja nilimwambia nimezipenda kucha zake za miguu, alishangaa sana b'se wanaume wanamwambia tuu ana miguu mizuri.
 


Kila mwanamke anapenda kusifiwa... but ikizida saaana inakua kama kejeli, we kila saa mpenzio nasifia parts za mwiili wako, kila ukionana nae hivyo hivyo (ndio ni wazi kua a guy ambae ni lijali is thinking of sex most of the time - but kunahaja ya kongea ongea ???) EMT wewe ni mkaka na obviously unajua traits za baadhi ya wanaume wenzio... Naomba nijibu ukweli, mwanaume anaempenda mwenza wake mapenzi ya kweli atamsifia body parts kila saa na kila wakionana??? Hiyo kama si lust ni kitu gani.....

Kuhusu a lady kukuuliza how she looks tafadhali usije fanya mistake kumwambia anaonekana kituko hata kama humpendi... Na ukweli ni kwamba a guy anaekupenda lazima atakua na tactical answers...Your lady kakuuliza "how does my lips look ?" - hapo inamaana labda kapaka lipstick.... Ukiona hio lipstick inamchekesha usimuache hivyo na kumsifia uongo.. Tumia busara zinazotakiwa katika mapenzi ... Mwambie "Honey hio lipstick looks good but I always find your lips sexy the way you always do them..." - Kwa hii statement unafikiri atatoka nayo ???
 
Reactions: EMT
Lizzy uliomba comments toka kwa kina dada tu ,nisamehe bure mi uzalendo umenishinda wacha nipasue jipu.Wengine tukiongea humu huwa tunaambiwa eti tunatetea mfumo dume kumbe na ninyi wenyewe kina mama mnataka baba awe mkali na sio mpole.Mnaona sasa? Mina nina kesi nyingi za baba wapole ambao wameishia kuumizwa na wake zao.Upole upole huu unasikia mama kamzaba mzee vibao,mara kammwagia maji ya moto,mara kampiga na kitu kizito,na kibaya zaidi kina baba wa namna hii huwa wanaficha kinachowasibu na wakiulizwa wanasema 'walianguka kwenye ngazi'akichomwa na maji ya moto anasema ndoo ya maji ilimuangukia etc.Ndo mana bana mi nasema na nitarudia kusema MWANAMKE KULA NAYE,LALA NAYE,OGA NAYE,CHEKA NAYE LAKINI WAKATI WOTE ACHA MACHO YAKO WAZI!!!!!
 
mafahari wawili hawakai zizi moja. Ukiwa mpole unahitaji mume asiye mpole and vice versa. Wote mkiwa wakorofi mtahachana in a month. Na kwa uzoefu wangu wanaume wapole wanapenda wadada machachari, they enjoy being in their company. Mfano mme wangu nikiwa nae nikakaa kimya nusu saa ananuna kabisa, anataka nibwabwaje tuuu.
 
Reactions: EMT

Good call
 


LOL...LOL... Wapi NN??? Nilikua nakusubiri kwa hamu nisikie vibomu vyako..... sasa nimeridhika.....LOL
 
hata mie napenda mwanaume awe na authority ndani ya nyumba......akae na kunukia kiume:happy:
 
Na maishani mwangu sijawahi kupenda mwanaume anayejifanya mjanja. Kwa sababu na mimi ni mjanja pia.


Naona ndo umeamua kunimaliza kabisaaaa.......LOL... Good strategy ya kujitambua...
 
kuna wengine kama mimi mpaka najiogopa...huwa sirushi ngumi wala khanga, akinikosea au kafanya makosa huwa simbakizi hata kidogo. nitaongea naye na kumsema live mpaka anaweza kulia, can u handle me lizzy?
 
Kwahiyo bora umsifie wewe alafu huko nje awe kichekesho???Mi bora niambiwe ukweli ili nirekebishe!
 
Reactions: EMT
Muhimu ni kutafuta mtu unaeendana nae ili mmoja wenu asiwe muonevu na mwingine muonewaji!!Dah hiyo ishu ya kumwagiana maji ya moto inasikitisha kweli......ni roho mbaya tu ya hao wanawake wala haihusiani na upole wa waume zao!
 
kuna wengine kama mimi mpaka najiogopa...huwa sirushi ngumi wala khanga, akinikosea au kafanya makosa huwa simbakizi hata kidogo. nitaongea naye na kumsema live mpaka anaweza kulia, can u handle me lizzy?
Style yangu hiyo....tutawezana sana!!!
 
Hahah eti ananuna kisa huongei.....huku wenzake wananuna kwasababuwakwao hawaachi kuongea!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…