Asante mzee DC.....najifunza taratibu!Lizzy,
Sikutaka kuharibu post ya ndugu yangu Bishanga Bashaija (Maswahibu huwakuta wanaume wa kweli).....Ukisoma vizuri post yake utaona nilichotaka kusema.
Tatizo ni kwamba binadamu ni kiumbe wa hovyo sana. Akila chips kuku kila siku atalaani tu...wakati huo anayekula kauzu kila siku anajiandaa kuasi. Na umri wangu huu hata sijui ni kitu gani ukimtendea binadamu kitaonekana kizuri..
Mimi najitahidi kuwa mimi...Labda bibi siku moja ataweza kuja kueleza mimi ni mtu wa namna gani! Vinginevyo nabaki kinywa wazi mdogo wangu.. Hata hivyo ukikua utayaona, kuyashuhudia na mwishowe utakuwa kungwi wa uhakika!!
Mzee DC
Sweat K umemaliza issue yako ??? (your son was asking)
LOL...Good, your elder mkali and i dont want to mess things yet....
<br />
<br />
Asha hebu andika jina poa K mmmhh
<br />Kumbe una sweet mwingine???<br />
Unaniingiza choo cha mbuzi najiona??
<br />Tayari umeshanipotosha<br />
Daah<br />
Yaan K imeharibika namna hii??
Wapi sasa???Nwy popote pale bado nakusikiliza....
Sweat K umemaliza issue yako ??? (your son was asking)
<br />
<br />
Ukome maana umezidi
Kikubwa kwenye uhusino ni matching tu (compatibility). Jaribu kuangalia couples ambazo zinahuhusiano wa kudumu lazima utakuta wana tabia opposite, mmoja akiwa mlevi, mwingine hanywi, mmoja mzungumzaji - mwenzie mkimya, maisha yanaenda. Sasa kuta wote waongeaji ndo unakuta wakianza zogo mpaka mtaa wa tatu.
<br />
<br />
Umeanza lini kusoma ktkt ya misitari?
<br />mie kumtest demu wangu huwa nachonga deal na polisi wanikamate na bangi halafu nampigia cmu nimuone je atawezaje kuja kuongea na polisi ili waniachie
<br />Upole wangu huo unanitafuna<br />
Ngoja nisome tena alivyoandika Bishanga
Je akitoa hongo ya mapenzi kwaajili yako utamuelewa??