Upole unawagharimu wanaume wengi

hapo nakupongeza ila siku na yeye mke wake akitafutia njemba sijui mtafanyaje?
 
Pole sana mleta maada, hujamsaidia katika upole wake. Utamuweka kwenye tatizo ambalo huzaa kifo, kama unampenda badili strategy mkuu.
 
Acheni kudeal na mambo ya watu kiasi hiki mnajifanya mnaona sana,mnajua sana,MNA huruma sana ...kama ni Mungu aliwapa hiyo ndoa no yeye tu anajua namna ya kuilinda as no one knows
 
Angalia asije akahamia airtel jumla sijui utafanyeje kumrudisha na huyo umesema ni mtumishi wa kondoo wa bwana
 
Ndo unajiona mjanja sasa?

Mbona wewe na ukali wako bado unagongewa na yule mwenyekiti wa mtaa wenu?
 
wewe unataka watumishi wa mungu wawe wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…