Upo wapi Anneth Benidicta?

Mkuu chukua tu tahadhari mapema, kama alikuwa anaishi kota za polisi, kuna uwezekano mkubwa aliolewa na njagu. Omba tu asiwe ni mke wa afande Kingai!

Mwaka 2014 simu za mikononi na barua pepe zilikuwepo, ina maana ulishindwa kuwa mawasiliano ya aina hiyo zaidi ya kuonana naye ana kwa ana tu!
 
Yaani unamuulizia mke wangu?
Njoo umsalimie tuko hapa Mwanga

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio tunaita Karma, what you put in is what you get out.... Shikamoo mapenzi hisia zinazochoma zisizoisha utamu
 
Kama unampenda EX wako msingeachana,kurudiana ni uzwazwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…