Upo sehemu gani kati ya hizi?

Upo sehemu gani kati ya hizi?

Nafikiri nipo Sigma ila kujisema mwenyewe inawezekana ikaonekana ni kutaka kujisifu ngoja nijaribu kuwatumia watu ili wao ndo waniambie nipo sehem gan
 
%95 umecopy akili yangu kabisa,muda mwingine najiuliza kwanini niwe hivi? kumbe ndio maisha yetu tulioadaliwa
 
Hiki kundi la mwisho ndio ninaloishi mimi, nafkiri ndio maana naonekana niko very complex kwa watu wengine kwasababu niko na mambo yangu na rafiki zangu hadi wanipigie ndio tunapata muda wa kupiga mastori kama watu

Sent from my SM-G5510 using JamiiForums mobile app
 
Jita
Hiki kundi la mwisho ndio ninaloishi mimi, nafkiri ndio maana naonekana niko very complex kwa watu wengine kwasababu niko na mambo yangu na rafiki zangu hadi wanipigie ndio tunapata muda wa kupiga mastori kama watu

Sent from my SM-G5510 using JamiiForums mobile app
Jitahidi wew uwaelewe zaid wao ili uishi nao kwa aman!!
 
Humu watatokea wengi ambao ni kundi hilo la tatu.

Binafsi huwa sijilabel.

Andiko bora sana JF kwa kipindi kirefu.
Ahsante. Tabia ya binadamu yoyote kuona anafiti sehemu iliyo nzuri. Mfano hapa kwa harakaharaka utaona zaid ya 75% wanasoma na kujiona wapo kundi la mwisho. Njia nzuri ya kujua ni kundi lipi upo andika chin point moja moja afu kujitathimin au unaeza muuliza mtu unae muamini kila point utajua upo wap!!
 
Hakuna kundi la nne ambalo linachanganya baadhi ya tabia kutoka katika hayo yote matatu mkuu?

Maana nimetest kundi langu naona kama nimechota characteristics karibia kila kundi.

Ila yote kwa yote andiko lako ni zuri maana limenipa mwanzo mzuri wa kuanza kujitathmini kupitia hayo makundi matatu.
Tabia zinaingiliana, hapo kikubwa ni kuangalia tabia ambazo hazibadiliki kujua lipi kundilako. Mfano mtu ili tumuite mlevi ni lazima awe mnywaji wa pombe kupitiliza lakin sio kila mnywa pombe ni mlevi.
 
Back
Top Bottom